Monday, January 22, 2018

Balozi wa Zimbawe atembelea Wizara ya Mambo ya Nje


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba akisalimiana na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania anayemakiza muda wake, Mhe. Idzai Chimonyo ambaye alifika ofisini kwa Mhe. Naibu Waziri kwa ajili ya kuaga.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania anayemakiza muda wake, Mhe. Idzai Chimonyo.
Mazungumzo yanaendelea

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania anayemaliza muda wake, Mhe. Idzai Chimonyo. Wengine katika picha ni Afisa Dawati wa Zimbabwe, Bibi Halima Abdallah na Afisa Ubalozi wa Zimbabwe, Bw. Martin Tavenyika.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.