Monday, January 15, 2018

Waziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Taifa la Israel


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Taifa la Israel mwenye makazi yake Nairobi-Kenya, Mhe. Noah Gal Gendler. Makabidhiano hayo yamefanyika katika ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Januari 2017. 
Mhe. Waziri Mahiga akizungumza na Mhe. Gendler ambapo mazungumzo yao yalijikika katika kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia unaolenga kuinua uchumi kwa kufanya maboresho katika sekta ya uwekezaji, Utalii na Kilimo kwa manufaa ya wananchi wa Tanzania na Israel.
Mazungumzo yakiendelea.

Picha ya pamoja Mhe. Waziri Mahiga, Mhe. Gendler na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Mashariki ya Kati Bw. Hangi Mgaka.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.