Thursday, June 13, 2019

Prof. Kabudi afanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Rwanda

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akisalimiana na mgeni wake ambaye ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille alipowasili katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zilizopo jijini Dar es Salaam tarehe 12 Juni 2019.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille. Mazungumzo yao yalifanyika  katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zilizopo jijini Dar es Salaam tarehe 12 Juni 2019
Mazungumzo kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.)  na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille yakiendelea. Kushoto kwa Mhe. Kabudi ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe. Mazungumzo hayo yalifanyika katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zilizopo jijini Dar es Salaam tarehe 12 Juni 2019
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akiagana na mgeni wake ambaye ni  Spika wa Bunge la Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille mara baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zilizopo jijini Dar es Salaam tarehe 12 Juni 2019
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille (kulia) akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe mara baada ya kuwasili  katika Ofisi ndogo za Wizara  zilizopo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo na  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi yaliyofanyika tarehe 12 Juni 2019.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.