Wednesday, June 5, 2019

Dkt. Mnyepe afanya mazungumzo na Balozi wa Msumbiji hapa nchini.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Msumbiji hapa nchini Mhe. Monica Patricio Clemente. Mazungumzo yao yamefanyika katika Ofisi Ndogo zilizopo jijini Dar es Salaam tarehe 04 June, 2019
Mazungumzo kati ya Dkt. Mnyepe (wa pili kutoka kulia) na Balozi Clemente (wa pili kutoka kushoto) yakiendelea, wa kwanza Julia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Wilbroad Kayombo akifuatilia kwa making mazungumzo hayo. 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.