Wednesday, June 17, 2020


Picha ya Rais wa Burundi Hayati Pierre Nkurunziza wakati wa uhai wake.
Waziri wa mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Prof. Palamagamba John Kabudi akisalimiana na Balozi
wa Burundi Nchini Tanzania Mhe. Gervais Abayeho.

Prof. Kabudi amekwenda Ubalozini hapo kwa ajili ya kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa Burundi Mhe. Pirre Nkurunziza aliyefariki Juni 09,2020.

Prof. Kabudi amekwenda Ubalozini hapo kwa ajili ya kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa Burundi Mhe. Pirre Nkurunziza aliyefariki Juni 09,2020.

    Waziri wa mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Burundi Nchini Tanzania kufuatia kifo cha Rais wa Burundi Mhe. Pirre Nkurunziza aliyefariki Juni 09,2020.
 Kulia kwake aliyesimama ni Balozi wa Tanzania nchini Burundi Balozi Gervais Abayeho

   Waziri wa mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akizungumza na Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Balozi Gervais Abayeho mara baada ya kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa Burundi Mhe. Pirre Nkurunziza aliyefariki Juni 09,2020.

Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Balozi Gervais Abayeho akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kusaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Burundi Jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi Mhe. Pirre Nkurunziza aliyefariki June 09,2020.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akimsikiliza Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Balozi Gervais Abayeho  mara baada ya kusaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Burundi Jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi Mhe. Pirre Nkurunziza aliyefariki June 09,2020.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.