Friday, October 22, 2021

Rais Ndayishimiye aweka jiwe la msingi kiwanda cha mbolea cha ItraCom jijini Dodoma

 

Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Everiste Ndayishimiye akiwasalimia wananchi (hawapo pichani) waliohudhuria uzinduzi wa kiwanda cha Mbolea ya Asili cha ItraCom jijini Dodoma alipotembelea kiwanda hicho

Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Everiste Ndayishimiye akizindua kiwanda cha Mbolea ya Asili cha ItraCom jijini Dodoma

Baadhi ya wananchi walioshiriki katika uzinduzi wa kiwanda cha Mbolea ya Asili cha ItraCom jijini Dodoma uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Everiste Ndayishimiye .

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.