Friday, October 22, 2021

RAIS NDAYISHIMIYE WA BURUNDI AWASILI NCHINI

      

Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye akiwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma kwa ziara ya siku tatu ya kitaifa nchini.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma.
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Dkt. Jilly Maleko kwa  Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye alipowasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma.
   
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Mkurugenzi Idara ya Afrika, Balozi Naimi Aziz kwa  Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye alipowasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwatambulisha viongozi mbalimbali walifika uwanjani kumlaki  Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye alipowasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma
Mhe. Rais Ndayishimiye akisalimia wananchi waliofika uwanjani  kumlaki alipowasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma.
 
 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.