Friday, October 29, 2021

TANZANIA NA UMOJA WA ULAYA WAKUTANA KWA MAJADILIANOO DAR ES SALAAM

Waziri  wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula akizungumza kufungua mkutano wa majadiliano kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya uliofanyika jijini Dar es Salaam

Katibu Mkuu Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Joseph Sokoine akizungumza kumkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kufungua mkutano wa majadiliano kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya uliofanyika jijini Dar es Salaam

Balozi wa Umoja wa Ulaya Mhe. Manfredo Fanti akizungumza wakati wa Mkutano wa majadiliano kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya uliofanyika jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti mwenza wa Kikao cha Majadiliano ya pamoja kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya ambaye pia ni Mkurugenzi Mwendeshaji anayeshughulikia masuala ya Afrika kutoka  Umoja wa Ulaya Mhe. Balozi Rita Liranjinha akizungumza wakati wa ufunguzi wa  mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam

Mabalozi kutoka nchi za Umoja wanaoziwakilisha nchi zao nchini wakishiriki katika Mkutano wa majadiliano kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya uliofanyika jijini Dar es Salaam

Washiriki wa wa Mkutano wa majadiliano kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya uliofanyika jijini Dar es Salaam wakifuatilia kikao hicho

Washiriki wa wa Mkutano wa majadiliano kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya uliofanyika jijini Dar es Salaam wakifuatilia kikao hicho

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.