Friday, October 22, 2021

Rais Samia ampokea Rais Ndayishimiye wa Burundi Ikulu Chamwino jijjini Dodoma


 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkaribisha mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye alipowasili ikulu ya Chamwino jijini Dodoma
 
Rais wa Burundi Mhe. Everiste Ndayishimye akiwa jukwaani na mwenyeji wake Mhe, Samia Suluhu Hassan wakati nyimbo za Taifa za mataifa ya Burundi na Tanzania zikipigwa kwa heshima yake baada ya kuwasili Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Everiste Ndayishimiye akikagua gwaride la heshima katika viwanja vya Ikulu  Chamwino jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwatambulisha kwa Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Everiste Ndayishimiye viongozi mbalimbali waliofika kumlaki katika viwanja vya Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Everiste Ndayishimiye wakiwa katika mazungumzo Ikulu Chamwino


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Everiste Ndayishimiye wakifuatilia utaratibu wa kufuata kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari  katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

 Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya waandishi wa habari kuhusiana na mazungumzo yao na ujumbe wa Burundi yaliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Everiste Ndayishimiye akimshukuru Mhe. Rais Samia baada ya kumaliza kuongea na waandishi wa habari  katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

 

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.