Friday, October 8, 2021

WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI BALOZI LIBERATA MULAMULA KATIKA MKUTANO WA KIMATAIFA WA AMANI - ROMA,ITALIA

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis (aliyevaa kanzu nyeupe) akiwa pamoja na viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali duniani wakati wa kufunga Mkutano wa Kimataifa kuhusu Amani. Mkutano huo umefanyika Roma,Italia.

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa  ameshika ujumbe wa Amani aliokabidhiwa katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kimataifa wa Amani ambar umehudhuriwa na Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis. Mkutano huo umefanyika Roma,Italia

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.