Tuesday, November 9, 2021

Prof. Mbennah awasilisha Hati za Utambulisho nchini Mauritius

Balozi wa Tanzania nchini Mauritius mwenye makazi yake Harare, Zimbabwe, Mhe. Prof. Emmanuel Mbennah akingia Ikulu ya Port Louis kwa ajili ya kuwasilisha Hati za Utambulisho
Balozi wa Tanzania nchini Mauritius mwenye makazi yake Harare, Zimbabwe, Mhe. Prof. Emmanuel Mbennah akisalimiana na Rais wa Mauritius, Mhe. Prithvirajsing Roopun kwenye Ikulu ya Port Louis kabla ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.

Balozi wa Tanzania nchini Mauritius mwenye makazi yake Harare, Zimbabwe akisaini kitabu cha wageni kwenye Ikulu ya Port Louis.

Balozi wa Tanzania nchini Mauritius mwenye makazi yake Harare, Zimbabwe, Mhe. Prof. Emmanuel Mbennah akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Mauritius, Mhe. Prithvirajsing Roopun kwenye Ikulu ya Port Louis.

Balozi wa Tanzania nchini Mauritius mwenye makazi yake Harare, Zimbabwe, Mhe. Prof. Emmanuel Mbennah akiwa katika mazungumzo na Rais wa Mauritius, Mhe. Prithvirajsing Roopun kwenye Ikulu ya Port Louis. Wawili hao walijadili masuala ya ushirikiano baina ya Tanzania na Mauritius hususan katika sekta ya uwekezaji na biashara.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.