Sunday, November 28, 2021

RAIS SAMIA NA RAIS MUSEVENI WAFUNGA KONGAMANO LA WAFANYABIASHARA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Museven wameshiriki katika kufunga Kongamano la Wafanyabiashara kati ya Tanzania na Uganda lililofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam

Pamoja na mambo mengine, Viongozi hao wameahidi kuendelea kushirikiana na sekta binafsi katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati katika sekta ya nishati na gesi ili kufungua fursa kwa wananchi wa pande zote mbili.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufungaji wa Kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda lililohudhuriwa na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufungaji wa Kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda lililohudhuriwa na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Rais wa Jamhuri ya Uganda Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kufunga Kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda lililofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es salaam  


Baadhi ya Mawaziri, Makatibu Wakuu pamoja na viongozi waandamizi wa Serikali wakifuatilia ufungaji wa Kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda lililofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es salaam  


Sehemu ya Mawaziri na Wafanyabiashara wakifuatilia ufungaji wa Kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda lililofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es salaam  




 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.