Friday, July 26, 2024

RAIS SAMIA AWAAPISHA MHE. BALOZI KOMBO NA MANAIBU WAZIRI IKULU DAR ES SALAAM

Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo akiapa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ikulu Dar es Salaam, Julai 26, 2024

Mhe. Dennis Lazaro Londo akiapa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Masharika, Ikulu Dar es Salaam, Julai 26, 2024


Mhe. Cosato Chumi akiapa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ikulu Dar es Salaam, Julai 26, 2024



Mawaziri na Manaibu Waziri Wakiapa kiapo cha Uadilifu baada ya kuapishwa na Mhe. Rais  kushika nyadhifa hizo Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Julai, 2024.


Mawaziri na Manaibu Waziri wakisaini Hati ya kiapo cha Uadilifu baada ya kula kiapo hicho na kuapishwa na Mhe. Rais  kushika nyadhifa hizo Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Julai, 2024.

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.