Tuesday, April 16, 2013

Katibu Mkuu asaini Mkataba na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania mjini Hamburg


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule kwa pamoja na Bibi Petra Hammelmann, Mwakilishi wa Heshima Mteule wa Tanzania mjini Hamburg nchiniUjerumani wakisaini Mkataba wa kumwezesha Bibi Hammelmann kuwa Mwakilishi wa Heshima rasmi wa Tanzania katika mji huo. Mkataba huo ulisainiwa Wizarani tarehe 16 Aprili, 2013.

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Itifaki katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Andy Mwandembwa (kushoto) pamoja  na Bw. Ali Ubwa, Afisa Mambo ya Nje kutoka Kitengo cha Sheria wakishuhudia uwekaji saini huo.

Bw. Haule na Bibi Hammelmann wakibadilishana mkataba huo mara baada ya kusaini.


Bw. Haule kwa pamoja na Bibi Hammelmann wakionesha mkataba huo.

Bw. Haule akizungumza na Bibi Hammelmann mara baada ya kusaini mkataba utakaomwezesha Bibi Hammelmann kuwa Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania mjini Hamburg. Pamoja na mambo mengine Bw. Haule alimhimiza Mwakilishi huyo kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania mjini Hamburg ili kukuza sekta ya utalii hapa nchini.

Bw. Haule akiendelea na mazungumzo na Bibi Hammelmann huku Bw. Mwandembwa na Bw. Ali wakisikiliza.

Saturday, April 13, 2013

Deputy Minister Maalim meets with Mexico's candidate for the WTO


Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation earlier today met with Dr. Herminio Mendoza, who paid a courtesy visit to the Hon. Minister's office in Dodoma.  Dr. Mendoza, is one of the candidates from Mexico who is running for the position of the Director General of the World Trade Organisation (WTO) and was previously served as a Minister for Business and Trade Cooperation in the Government of Mexico.  

Hon. Maalim (3rd right) together with Mr. John M. Haule, Permanent Secretary of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation in a discussion with Dr. Mendoza, who is running for the candidacy of Director General of the World Trade Organisation.   Right is Ambassador Celestine Mushy, Director of the Department of Multilateral Cooperation in the Ministry of Foreign Affairs.  


Ambassador Celestine Mushy (center), in a brief conversation with Dr. Herminio Mendoza, a candidate from Mexico who is running for the position of Director General of the WTO earlier today in Dodoma.  Mexico is one of the five countries that have passed through the first round of voting in the candidacy battle of the Director General of the WTO.  Other four candidates are from Indonesia, Brazil, South Korea and New Zealand. 

Ambassador Mushy (2nd left) in a roundtable discussion with Dr. Herminio Mendoza, Mexico candidate running for the Director General position in the World Trade Organisation.  Also in the photo  is Mr. Mohammad Reza Saboor (right), Honorary Consul of Mexico to the United Republic of Tanzania. 

Ambassador Celestine Mushy (2nd right), Director of the Department of Multilateral Cooperation in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation in a group photo with Dr. Herminio Mendoza (left), a candidate from Mexico currently running for the Director General position in the World Trade Organisation (WTO).   A decision on the next Director General is expected to be announced around 31 May, 2013 while the new Director General is expected to assume his new duties on 1st September, 2013.



Minister Membe meets with Indonesia's Candidate for the post of Director General of the WTO


Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation (left) welcomes Hon. Mari Elka Pangestu, Minister for Tourism and Creative Economy of the Republic of Indonesia who had paid a courtesy visit to Minister Membe, today in Dar es Salaam.  Hon. Pangestu is one of the candidates running for the position of the Director General of the World Trade Organisation (WTO).  

Hon. Minister Membe (2nd right), Ambassador Celestine Mushy (right), Director of the Department of Multilateral Cooperation in the Ministry welcome Hon. Mari Elka Pangestu (center), Minister for Tourism and Creative Economy of the Republic of Indonesia and Government Officer from the Republic of Indonesia, Mr. Cecep Rukendi (3rd left), Assistant to Minister Pangestu and H.E. Zachary Anshar (1st left), Ambassador of the Republic of Indonesia to the United Republic of Tanzania, during their meeting held earlier today in Dar es Salaam.

Hon. Membe in a conversation with Hon. Mari Elka Pangestu, Minister for Tourism and Creative Economy of the Republic of Indonesia.   Also in the photo is Ambassador Celestine Mushy (1st Right), Director of the Department of Multilateral Cooperation in the Ministry.  Indonesia is one of the five countries that have passed through the first round of voting in the candidacy battle of the Director General of the World Trade Organisation (WTO).  Other four candidates are from Brazil, Mexico, South Korea and New Zealand. 

Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation in a joint photo with Hon. Mari Elka Pangestu, Minister for Tourism and Creative Economy of the Republic of Indonesia after their meeting today.  Hon. Pangestu is one of the candidates battling the post for the Director General of the World Trade Organisation (WTO).  A decision on the next Director General is due by 31 May, 2013 and the new Director General is expected to assume his new duties on 1st September, 2013.



Friday, April 12, 2013

Waziri Membe asaini Kitabu cha Maombolezo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Hayati Margaret Thatcher‏


 
Mhe. Waziri Membe akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Dianna Melrose, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, mara baada ya kuwasili katika Ubalozi huo.
Mhe. Waziri Bernard K. Membe (Mb), akisaini Kitabu cha Maombolezo cha Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke wa Uingereza katika Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania, uliopo jijini Dar es Salaam. Hayati Bibi Margaret Thather amefariki akiwa na umri wa miaka 87 na anakumbukwa kwa kuwa mwanamke mwenye ushawishi wa mkubwa katika siasa za Uingereza na kwa kuleta mageuzi ya kisiasa nchini humo. 

Waziri Membe akiwa katika mazungumzo machache na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Dianna Melrose, mara baada ya kusaini Kitabu cha Maombolezo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke wa Uingereza, Hayati Bibi Margaret Thatcher.


Hayati Margaret Thatcher 1925-2013

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Hayati Margaret Thatcher (87) (pichani juu), alifariki dunia mapema wiki hii baada ya kuugua ghafla.  Hadi leo, Hayati Thatcher anakumbukwa kuwa mwanamke pekee kushika wadhifa huo nchini Uingereza.  Alishika wadhifa huo katika kipindi cha miaka 11 kuanzia mwaka 1979 hadi 1990, akiwa kiongozi wa chama chake cha Conservative nchini Uingereza.


Saturday, April 6, 2013

Press Release: Tanzania becomes Chair of the AU's Peace and Security Council for the month of April 2013



220px-Coat of arms of Tanzania.svg f1f71

PRESS RELEASE

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BECOMES CHAIR OF THE AFRICAN UNION PEACE AND SECURITY COUNCIL (AUPSC) FOR THE MONTH OF APRIL 2013

Since 1st April 2013, the United Republic of Tanzania has become Chair of the African Union Peace and Security Council (AUPSC) for the entire period of one month. The United Republic of Tanzania was elected as a Member of the AUPSC in April 2012, for a two-year period. The African Union Peace and Security Council is a standing decision – making organ for the prevention, management and resolution of conflicts. The Peace and Security Council (PSC) is the sole organ with the African Union (AU) that is responsible for decision making on all issues relating to the promotion of peace, security and stability in Africa. 

The PSC is composed of 15 member states of the AU elected according to the principle of equitable regional representation and rotation as stipulated in the Protocol Relating to the establishment of the Peace and Security Council of the African Union. The current Members of the AU Peace and Security Council (AUPSC) are Algeria, Angola, Cameroun, Congo (Brazzaville), Cote d’Ivoire, Djibouti, Egypt, Equatorial Guinea, Gambia, Guinea (Conakry), Lesotho, Mozambique, Nigeria, Tanzania and Uganda. It is worth noting that Algeria, Mozambique and Uganda are new members that joined the PSC in April 2013 to replace Libya, Zimbabwe and Kenya whose membership ended in March 2013.

On 5th April 2013, In Addis Ababa, Ethiopia, the Peace and Security Council (PSC) held its 365th Meeting. The meeting was chaired by Prof. Amb. Joram Biswaro, Permanent Representative of the United Republic of Tanzania to the African Union (AU) and the United Nations Economic Commission for Africa (UNECA). The PSC meeting considered and subsequently adopted its monthly programme of work for the month of April 2013, which was prepared by the United Republic of Tanzania in consultation with the African Union Commission Peace and Security Department and other Union relevant organs of the African Union Commission (AUC).

In his statement as the new Chairperson of PSC for the month of April 2013, Prof. Ambassador Joram Biswaro reiterated the Government of the United Republic of Tanzania’s commitment and devotion in shouldering its responsibilities as a member and Chair of the Peace and Security Council, an important organ which has an obligation of the maintenance and promotion of peace and stability in the African continent.

The Chairperson noted that as Africa marked 50th Anniversary of the establishment of its Organization OUA/AU this year, peace and security situation in Africa showed both positive and negative developments. On a positive note and despite the existing challenges, there have been developments in the situation between Sudan and South Sudan, in Eastern DRC, Somalia, Mali, Guinea Bissau and Madagascar in which the Peace and Security Council (PSC) in collaboration with Regional Economic Communities has been actively engaged and played a significantly role while assuming its responsibilities of maintenance of peace, security and stability in our continent. He also recognized that Peace and stability continued to consolidate in Egypt and Tunisia despite some challenges.

Similarly, the Chairperson pointed out that the recent peaceful concluded elections in Kenya and Djibouti have demonstrated that Africa has made tremendous strides in the promotion of democracy, good governance and the rule of law.
However, despite these positive developments, the Chairperson deplored the recent unconstitutional change of government in Central African Republic (CAR). He therefore underscored the need for the PSC to continue to play its role to ensure that the gains so far registered are nurtured and that Africa’s vision of an integrated, prosperous and peaceful continent is realized as enshrined in the Constitutive Act of the African Union.

In implementing its programme of work for the month of April 2013, the Peace and Security Council (PSC) will discuss and deliberate on various issues pertaining to the political and security in the Central African Republic (CAR), Madagascar, Democratic Republic of Congo (DRC), Mali, Guinea Bissau and developments on the situation between Sudan and South Sudan. The Council will also organize an open debate on the operationalisation of the African Peace and Security Architecture (APSA) and Rapid Deployment Capacity. Accordingly, and as lessons learned, there will be briefings on the recent elections in Kenya and Djibouti, as well as upcoming ones in the continent.  


Issued on 6th April 2013, Addis Ababa, Ethiopia.

EMBASSY OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TO THE FEDERAL DEMOCRATIC REPUBLIC OF ETHIOPIA AND PERMANENT REPRESENTATION TO THE AFRICAN UNION (AU) AND TO THE UNITED NATIONS ECONOMIC COMMISSION FOR AFRICA (UNECA)

Friday, April 5, 2013

Waziri Membe atoa msimamo wa Tanzania kuhusu mgogoro wa mpaka Ziwa Nyasa na Malawi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo tarehe 5 Aprili, 2013 kuhusu msimamo wa Tanzania wa kusubiri uamuzi utakaotolewa na Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji, Mhe. Joachim Chisano kuhusu mgogoro wa mpaka katika Ziwa Nyasa kati ya Tanzania na Malawi.


Baadhi ya Waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya Habari wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani) alipozungumza nao kuhusu msimmo wa Tanzania kuhusu mgogoro unaoendelea kati ya Tanzania na Malawi juu ya mpaka katika Ziwa Nyasa

Wanahabari wakiwa kazini.


Mhe. Membe akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani). Wengine katika picha ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule (kulia) na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Rajabu Gamaha.


Balozi Liberata Mulamula (kulia), Mshauri Mwandamizi wa Rais katika masuala ya Diplomasia naye alikuwepo wakati wa Mkutano wa Mhe. Membe na Waandishi wa Habari. Katikati ni Balozi Irene Kasyanju, Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mhe. Shamim Nyanduga (kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji.

Mhe. Membe akiendelea kutoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu mgogoro wa mpaka katika Ziwa Nyasa unaozihusu Tanzania na Malawi huku Katibu Mkuu, Bw. Haule (katikati) na Balozi Vincent Kibwana, Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakisikiliza.


Wednesday, April 3, 2013

Uongozi wa Wizara wakutana na Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb) akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013 na mapendekezo ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka wa Fedha 2013/2014 kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (hawapo pichani) inayoongozwa na Mhe. Edward N. Lowassa (Mb.) (kulia). Kikao hicho kilifanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam tarehe 3 Aprili, 2013.
Baadhi ya Waheshimiwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Mhe. Waziri Membe (hayupo pichani).

Waheshimiwa Wabunge na Wajumbe wengine wa Kamati hiyo wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani)

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikino wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (kulia-mstari wa kwanza), akimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani) wakati wa kikao kati ya Uongozi wa Wizara na Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Wengine katika picha ni Bw. John  Haule (katikati), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Balozi Rajabu Gamaha (kushoto), Naibu Katibu Mkuu.

Baadhi ya Wakurugenzi, Wakuu wa Vitengo na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani) wakati wa kikao kati ya Uongozi wa Wizara na Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Wakurugenzi wengine kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani).

Wakurugenzi na Wajumbe wengine kutoka Idara, Vitengo na Taasisi za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Waziri Membe (hayupo pichani) wakati wa kikao kati ya uongozi wa Wizara na Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.


Friday, March 29, 2013

New Chief of Protocol


New Chief of Protocol Ambassador Mohamed Maharage Juma



Welcome back!

Ambassador Mohamed Maharage Juma is our New Chief of Protocol in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation.  The appointment became effective on March 23, 2013.

Before the appointment, Ambassador Juma was Tanzania's Ambassador in Abu Dhabi, UAE. 


President Xi Jinping's Speech


H.E. Xi Jinping, President of the Republic of China delivers his speech, highlighting his appreciation of longstanding relation that existed between Tanzania and China nearing fifty years and his countries view on Afro-China relations.  (Photo by Tagie Daisy Mwakawago)



Thursday, March 28, 2013

Mhe. Rais apokea Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa UAE hapa nchini



Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mhe. Abdulla Ibrahim Al-Sowaidi, Balozi mpya wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) hapa nchini. Hafla hiyo fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 28 Machi, 2013.


Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisalimiana na  Balozi Mpya wa UAE hapa nchini Mhe.  Al-Sowaidi mara baada ya Balozi huyo kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete.

Mhe. Al-Sowaidi, Balozi Mpya wa UAE hapa nchini akisalimiana na  Balozi Simba Yahya, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa huku Mhe. Membe na Bw. Hangi Mgaka (kushoto), Afisa Mambo ya Nje wakishuhudia.

Mhe. Al-Sowaidi, Balozi mpya wa UAE hapa nchini akiwa katika mazungumzo na Mhe. Rais Kikwete mara baada ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho.

Mhe. Membe (kushoto) akiwa na wajumbe wengine wakati wa mazungumzo kati ya Mhe. Rais Kikwete na Balozi mpya wa UAE hapa nchini, Mhe. Al-Sowaidi (hawapo pichani). Kulia ni Balozi Liberata Mulamula, Mshauri Mwandamizi wa Rais wa masuala ya Diplomasia na Balozi Simba Yahaya, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Mhe. Balozi Al-Sowaidi akisaini  Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu.



Mhe. Balozi Al-Sowaidi (katikati) akisikiliza Wimbo wa Taifa lake ulipokuwa ukipigwa kwa heshima yake mara baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Rais. Kulia ni Balozi Mohammed Maharage, Mkuu wa Itifaki na Bw. Shaaban Gurumo, Mnikulu.



Wajumbe wengine wakati Mhe. Balozi Al-Sowaidi akipokea heshima mara baada ya kuwasili Ikulu. Kushoto ni Bw. I. Kimario, ADC na Bw. Cosato Chumi, Afisa Mambo ya Nje katika Idara ya Itifaki.

Bendi ya Polisi ikipiga nyimbo za taifa la UAE na Tanzania kwa heshima ya Balozi mpya wa UAE, Mhe. Al-Sowaidi (hayupo pichani) hapa nchini.



Tuesday, March 26, 2013

President Kikwete's welcoming remarks at the Mwalimu Nyerere Convention Centre


H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania gives his remarks at the Mwalimu Nyerere International Convention Centre earlier yesterday, during the two-day Official State Visit of H.E. Xi Jinping, President of the People's Republic of China.  (Photo by Tagie Daisy Mwakawago)






CHECK AGAINST DELIVERY

WELCOMING REMARKS BY H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE OFFICIAL INAUGURATION OF THE MWALIMU NYERERE CONVENTION CENTRE, DAR ES SALAAM, 25 MARCH, 2013
                               

Your Excellency, Comrade President Xi Jinping and Madam Peng Liyuan;

Excellencies;

Distinguished Guests;

Ladies and Gentlemen;

Once again I heartily welcome you, and First Lady Madam Peng Liyuan, to Tanzania.  Congratulations on your well deserved election to the highest offices of your great Country: Secretary General of the Communist Party of China and most recently President of the Peoples Republic of China. We are very pleased and, in fact humbled that you included Tanzania in your first visit to Africa since you assumed the Presidency in your great country. We in Africa highly appreciate this gesture of friendship and solidarity that in your first foreign trip, Africa is in your itinerary. And, more importantly we are anxious and excited that you will seize the opportunity of your visit to Tanzania to speak about China-Africa relations.  

Mr. President;
Your visit to Tanzania will further consolidate and advance the long-standing friendship and cooperation between Tanzania and China, built on a very solid foundation by the founding fathers of our two nations, (who unfortunately all are late) President Mwalimu Julius Nyerere on the Tanzanian side, Chairman Mao Zedong and Premier Chou en Lai on the Chinese side. The relationship we are witnessing today was further nurtured, consolidated and advanced by the successive generations of leaders in our respective countries. Fortunately for Tanzania two of my Predecessors, His Excellency Ali Hassan Mwinyi, the Second President and His Excellency Benjamin Mkapa the Third President are here with us.  

Sino -Tanzania relationship has endured a lot and withstood the test of time. It is the steadfastness of our leaders and peoples of our two countries which sustained it and enabled it to grow from strength to strength.  Now, we have become all weather friends.  The words of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere in a speech, delivered at the Peking Square in Beijing, during his state visit to China in February 1965 attests to underline this fact: 

He said: “We shall see for ourselves what are China's intentions towards us. We shall not be told by others........the fears of others will not affect Tanzania's friendship with China, any more than our friendship with other countries would be affected by what their opponents say of them".

Mr. President;
Ladies and Gentlemen;
When President Julius Nyerere established diplomatic relations with China in 1964, visited China in February, 1965, Premier Chou En Lai visited Tanzania in June 1965 and Tanzania supported China to take her rightful seat at the United Nations, it was at the height and intense heat of the cold war.  Today, forty eight years later the fear of China by others still remains, despite the cold war having ended.  Those words of wisdom by the founding father of our nation still resonate in my mind and the minds of all of us in government. They informed and guided Tanzania’s  - China policy for the past five decades. The fact of the matter is that “we will always be guided by our own judgment based on Tanzania’s best interests”.  I say this to assure you that Tanzania will continue to work closely with China at bilateral and multilateral settings in pursuit of national and global development goals of mutual interest.  

Mr. President;
Next year our two countries will be celebrating 50 years of the establishment of our diplomatic relations, friendship and cooperation.  Our relationship is excellent and China and Tanzania see eye to eye on many bilateral, regional and global issues.  Trade and investments have been increasing.  Tanzania has received invaluable support and assistance in our development endeavours as it has been the case with many African countries.  These have made a huge difference in the livelihood of our nations and peoples.  We will always be grateful and pray for continued support and assistance both at bilateral level and under FOCAC, which has proved to be a very useful initiative to support Africa’s development. In this regard we look forward to expansion of areas of cooperation and resource.

Your Excellency;
Ladies and Gentlemen;
We are gathered here this morning for official handover and inauguration of the Julius Nyerere Convention Centre built by the support and assistance from the Government and people of China.  This is another important milestone in the cooperation and solidarity between our two nations and peoples.  Indeed, it is quite befitting that this monumental building bears the name of the founding father of the Tanzanian nation and of China-Afri-Tanzania relationship.  We could not have chosen a better name.

 The Convention Centre joins the long list of other symbols of Sino-Tanzania friendship and cooperation.  These include, among others, the Tanzania-Zambia Railway, Urafiki Textiles Mills, the National Stadium and several others which for brevity of time I will not mention all of them. 

The Julius Nyerere Convention Centre will provide another modern conference facility for Tanzania and will be the first of its kind in Dar es Salaam. It will now be easy for Dar es Salaam to host local and international conferences which require facilities like the ones available at this Convention Centre. I am sure it will also be a source of promoting conference tourism for the City of Dar es Salaam.  

Allow me, at this juncture to acknowledge and pay homage to your predecessor, His Excellency President Hu Jintao, for accepting my request and making it possible for this magnificent Julius Nyerere Convention Centre to be built. The people of Tanzania will forever cherish this symbol of true friendship.

Your Excellency;
Before I conclude let me express my profound gratitude to the China’s policy towards Africa. It has worked well and we have no doubt that the people of China will continue to walk with the people of Africa.  So far China has been a dependable supporter and ally of African countries and other Third World countries, in their quest for support in their development efforts and plea for a just and equitable world economic order. We are eagerly waiting to hear from you on the policy of your administration towards Africa. It is now my singular honour and pleasure to welcome you to address this audience.

Long live China-Tanzania friendship!  Long live China - Africa friendship!  Please welcome.

                       I thank you for your kind attention.