Wednesday, July 3, 2013

Matukio mbalimbali yaliyofanyika wakati wa Mkutano wa Wake wa Marais wa Afrika



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi Mkutano wa Wake wa Marais wa Afrika uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam tarehe 2 na 3 Julai 2013. Mkutano huo unafadhiliwa na Taasisi ya George W. Bush, Jr.

Mke wa Rais, Mhe. Mama Salma Kikwete akitoa hotuba ya kuwakaribisha nchini Wake za Marais kutoka nchi za Afrika katika mkutano wao uliofanyika Jijini Dar es Salaam  tarehe  2 na 3 Julai, 2013. Pamoja na mambo mengine mkutano huo ulijadili masuala mbalimbali yanayoweza kuwainua wanawake Barani Afrika ikiwa ni pamoja na Elimu. Ujasiriamali na Afya Bora.

Mke wa Rais wa zamani wa Marekani, Mama Laura George W. Bush, Jr. akitoa neno la shukrani kama mfadhili wa mkutano huo.


Baadhi ya Wake wa Marais wakisikiliza hotuba ya Mhe. Rais Kikwete (hayupo pichani).

Wajumbe mbalimbali waliohudhuria mkutano huo wa Wake wa Marais
Mke wa Rais wa Marekani, Mhe. Mama Michelle Obama akichangia hoja na uzoefu wake kama mke wa rais  wakati wa Mkutano huo wa Wake wa Maraisi wa Afrika. Kushoto ni Mama Laura Bush akisikiliza.

Mama Obama akikumbatiana na Mama Laura George W. Bush, Jr. mara baada ya kuzungumza na Wake wa Marais.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt. Twalib Ngoma akiwakaribisha baadhi ya Wake wa Marais waliotembelea kuona shughuli zinazofanywa na Taasisi hiyo.

Baadhi ya Wake wa Marais wakimsikiliza Dkt. Ngoma alipozungumza nao.

Mke wa Rais wa Sierra Leone, Mhe. Mama Sia Nyama Koroma akimpa pole mmoja wa wagonjwa katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road

Dkt. Ngoma akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wake wa Marais na wagonjwa.
Mhe. Rais Kikwete na Mhe. Rais Mstaafu George W. Bush, Jr. pamoja na Mama Salma Kikwete na Mama Laura George W. Bush, Jr. wakati wa Chakula cha Jioni kilichoandaliwa na Mama Salma kwa heshima ya Wake wa Marais.

Baadhi ya Wake wa Marais wa Afrika wakati wa chakula cha jioni

Mama Laura George W. Bush, Jr. akiwa na Mama Cherie Blair, Mke wa Waziri Mkuu mstaafu wa Uingereza.

Rais Mstaafu wa Marekani, Mhe. George W. Bush, Jr. akiteta jambo na Mhe. Rais Kikwete

Mhe. Rais George W. Bush, Jr. akitoa hotuba wakati wa chakula cha jioni

Wake wa Marais wakijadiliana jambo wakati wa  chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa heshima yao na Mama Salma Kikwete.

Brassband ikitumbuiza wakati wa chakula cha jioni
Afisa Mwandamizi katika Idara ya Afrika, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Hellen Rwegasira akiwa na mmoja wa wajumbe wakati wa mkutano huo wa wake wa marais.


Picha na Reginald Philip na Olga Chitanda

Tuesday, July 2, 2013

... More farewell wishes to the US President Barack Obama


Air Force One gets ready to take off. 

H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania hugs and congratulates the US Ambassador Alfonso Lenhardt of the United States of America to the United Republic of Tanzania for his continued strong commitment in working close with the Tanzania Government in seeing all US projects are keenly delivered to locals and people living in rural areas.  The US has several projects in the country, that includes health care initiatives, food security measures, preventive measures for Malaria and HIV/AIDs pandemics and technical assistance. 

President Kikwete and Ambassador Lenhardt share a candid moment, while witnessing their wives shares a hug. 

President Kikwete, First Lady Mama Salma Kikwete and their two beloved sons took time to reminisce on the US President Barack Obama's historical visit in the country.  President Obama has expressed strong commitment in initiating programs that will build skills and be beneficial to the future of young people. 

Hon. Minister Bernard K. Membe (MP) of the Ministry of Foreign Affairs also took time to congratulate H.E. Ambassador Alfonso Lenhardt of the Unites States of America to the United Republic of Tanzania for his impeccable solidarity in assisting the Tanzania Government in its is socio-economic endeavors. 

Hon. Prime Minister Mizengo Pinda exchanges views with Hon. Membe and Ambassador Lenhardt of the United States of America to Tanzania. 

President Kikwete and Senior Government Officials, along with H.E. Ambassador Alfonso Lenhardt gathered to witness the Air Force One plane carrying the US President Barack Obama takes off at the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam. 


Mr. Geophrey Pinda, Foreign Service Officer in the Protocol Department in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation points Hon. Minister Bernard K. Membe (MP) of Foreign Affairs to the members of the media who awaits to do a Live interview. (This photo by Rosemary Malale)

Hon. Minister Membe took time to do a TBC Live interview to thank the dedicated Tanzanians for their jovial mood, patience and solidarity that they have shown to the the US President Obama, First Lady Michelle Obama and their two daughters in the past two days during their official visit.  He said that their tranquility and normalcy had made it easier for the US First Couple to enjoy their stay in Tanzania.  

President Kikwete shares some laughters with Prime Minister Mizengo Pinda, Hon. Minister Membe, Hon. Minister Malima and the DSM Regional Commissioner Sadik. 

President Jakaya Mrisho Kikwete shares a moment with to Hon. Minister Bernard K. Membe of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation. 

Members of media also gathered to witness this historical occasion. 
  
H.E. President Kikwete explains something to his Government Officials that include Hon. Prime Minister Mizengo Pinda, Hon. Minister Bernard K. Membe (MP) and the Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik. 

President Kikwete continues with laughters with his Government Officials. 

Air Force One carrying the US President Barack Obama is moving, preparing itself to take off.  
President Kikwete and his Government Officials looking on as the Air Force One is set to take off. 

Tanzania bid farewell to the US President Barack Obama. 

President Kikwete and the US Ambassador Lenhardt wave goodbye to US President Barack Obama. 

President Kikwete gives a firm congratulatory hug to the US Ambassador Alfonso Lenhardt to the United Republic of Tanzania. 

President Kikwete took time to walk and thank all Tanzanians that had gathered to bid farewell to the US President Barack Obama in his two-days historical visit in the country. 

H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete walks back after he bids farewell to the US President Barack Obama, who was in the country for the past two-days in his official tour.   Also in the photo are Hon. Minister Mizengo Pinda and the DSM Regional Commissioner Sadik. 



All other photos by Tagie Daisy Mwakawago 



Mhe. Rais Obama atembelea Mitambo ya Symbion na kuzindua mpango wa maendeleo ya nishati Afrika



Rais wa Marekani, Mhe. Barack Obama akizindua rasmi Mpango Maalum wa Maendeleo ya Nishati Barani Afrika ulioanzishwa na Marekani  (Power Africa Initiative) wakati alipotembelea Mitambo ya Kufua Umeme ya Symbion iliyopo Ubungo Jijini Dar es Salaam katika siku yake ya pili ya ziara ya kitaifa hapa nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mhe. Rais Obama wakati wa uzinduzi huo. Wengine katika picha ni Mhe. Prof. Sospeter Muhongo, Waziri wa Nishati na Madini na Mhe. Said Mecky Sadick, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mhe. Rais Kikwete, Mhe. Muhongo, Mhe. Sadick na Balozi wa Marekani hapa nchini, Mhe. Alfonso Lenhadrt wakimsikiliza Mhe. Rais Obama.

Wageni mbalimbali wakiwemo Maafisa Waandamizi kutoka Serikalini wakimsikiliza Mhe. Rais Obama (hayupo pichani).

Wageni mbalimbali wakiwemo Maafisa Waandamizi kutoka Serikalini wakimsikiliza Mhe. Rais Obama (hayupo pichani). Mstari wa kwanza kutoka kulia ni Balozi Dora Msechu, Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Balozi Liberata Mulamula, Msaidizi Mwandamizi wa Rais katika masuala ya Diplomasia na Balozi wa Tanzania nchini Marekani.

Mhe. Rais Kikwete akiteta jambo na Mhe. Prof. Muhongo.

Mhe. Rais Obama akizungumza na Prof. Muhongo mara baada ya kutangaza Mpango Maalum wa Maendeleo ya Nishati Barani Afrika ulioanzishwa na Marekani  (Power Africa Initiative).

Mhe. Rais Obama akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Sadick

Mhe. Rais Obama na Mhe. Rais Kikwete wakiwa katika eneo la Mitambo ya Symbion.

Mhe. Rais Obama na Mhe. Rais Kikwete wakimsikiliza mmoja wa Wataalam aliyebuni kifaa mfano wa mpira ambapo kinapojaa upepo kwa kupigwa huweza kusababisha nishati ya umeme ambayo hutumika kwa matumizi mbalimbali kama kuchaji simu na kuwasha taa.

Mhe. Rais Obama na Mhe.Kikwete wakijaribu kupigiana kifaa hicho mfano wa mpira.
Mhe. Rais Obama na Mhe. Rais Kikwete wakiangalia kifaa hicho kikiunganishwa kwenye moja ya taa kabla ya kuwashwa.