Tuesday, August 18, 2015

Waziri Mkuu azungumza na Vyombo vya Habari vya Tanzania baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za SADC

Mhe. Mizengo Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akizungumza na vyombo vya habari vya Tanzania baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika leo tarehe 18 Agosti, 2015. Pembeni yake ni Mhe. Mahadhi Juma Maalim, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ambaye alishiriki kwenye Kikao cha Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo. Nyuma ni Bw. Innocent Shio, Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kikanda, Wizara ya Mambo ya Nje.



Monday, August 17, 2015

Ambassador Designate Of India Presents Copies of Credential

 Hon. Bernard Kamilius Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation receives Copies of Letters of Credence of H.E. Ambassador Sandeep Arya, the new High Commissioner of India to the United Republic of Tanzania.The Ceremony took place today in the Minister's Office in Dar es Salaam.
Hon. Membe (right) exchanges views with H.E. Arya.
Officials of the Ministry of Foreign Affairs take notes during the meeting. They are, from left: Thobias Makoba, Mkumbwa Ally and Emmanuel Luhangisa.
conversation in progress
The Deputy High Commissioner of India, Mr. Robert Shetkintong (Second left) and Ms. Deepa Sehgal, Second Secretary in the Mission (left) take notes during the meeting.
H.E. Arya presents a gift to Hon. Membe.

The Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Bernard Kamilius Membe today called for the resumption of Air India flights to Tanzania to further strengthen relations between Dar es Salaam and New Delhi.
Speaking after receiving copies of his credentials, Hon. Membe told the new Indian High Commissioner to Tanzania, H.E. Sandeep Arya, that revival of the historical communication link would stimulate trade between the two countries and facilitate easy movement of people.
It would also make it easier for people seeking medical attention in the Asian country. "India absorbs most of Tanzanians referred for treatment abroad and resumption of Air India flights will greatly ease their transition," he explained.
The Minister also urged the new envoy to support ongoing efforts to have India's Apolo chain of hospitals establish a center in Tanzania. He said apart from helping Tanzanians, the center could also carter for Tanzania's neighbors.
Hon. Membe said apart from health, Tanzania and India enjoyed robust cooperation in education and security sectors. Tanzania was also host to a sizable Indian community, which was law-abiding, he said.
Ambassador Arya undertook to push for resumption of Air India flights and expansion of economic cooperation between the two countries.

Photo By Reuben Mchome.

PRESS RELEASE

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent condolence message to H.E. Xi Jinping, President of the People’s Republic of China following the explosions that happened at a port warehouse in the City of Tianjin causing loss of dozens of lives and leaving many more critically injured.
 The Message reads as follows:
“H.E. Xi Jinping,
President of the People’s Republic of China,
Beijing,
THE PEOPLE’S REPUBLIC OF CHINA.

Your Excellency,

I am deeply saddened by the shocking news of explosions that happened at a port warehouse in the City of Tianjin causing loss of dozens of lives and leaving many more critically injured.

On behalf of the People and the Government of the United Republic of Tanzania, I wish to convey to you and through you to the People and the Government of the People’s Republic of China our heartfelt condolences and deep sympathies.
In this time of grief, our thoughts and prayers are with the bereaved families and we wish the survivors full and quick recovery.

The People of Tanzania while praising the spirit of selflessness demonstrated by first responders working to help the injured, we are confident that the Government and the People of the People’s Republic of China will continue to respond to this tragedy with characteristic resolve and resilience and will succeed in restoring normalcy quickly.
Please accept, Your Excellency and Dear Brother the assurances of my highest consideration.

Issued by the Ministry of Foreign Affair and International Cooperation,Dar es Salaam, 13th August 2015


Friday, August 14, 2015

Naibu Waziri Mambo ya Nje aongoza ujumbe wa Tanzania Mkutano wa Baraza la Mawaziri SADC

Dkt. Stagomena Tax, Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC akitoa hotuba ya ufunguzi wa Kikao cha Baraza la Mawaziri wa jumuiya hiyo.

Picha ya pamoja ya Mawaziri waliohudhuria Kikao cha Baraza la Mawazi wa Nchi wanachanama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC, Jijini Gaborone, Botswana tarehe 14-15 Agosti, 2015


Mhe. Mahadhi J. Maalim, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa kwenye ufunguzi wa Kikao cha Baraza la Mawaziri wa  Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) Jijini Gaborone, Botswana Ijumaa Agosti 14, 2015.

Ujumbe wa Tanzania kwenye Kikao cha Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya SADC uliiongozwa na Mhe. Mahadhi J. Maalim, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje (wa pili kulia), akifuatiwa na Balozi Simba Yahya, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje. Wengine mstari wa mbele ni Bw. Musa Uledi, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara (wa pili kushoto) na Dkt. Hamis Mwinyimvua, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha. 


Kongamano la Diaspora na Wajasiriamali likiendelea kwa siku ya pili jijini Dar es Salaam



Chukwu-Emeka Chikezie akiongoza moja ya mdahalo katika kongamano la Diaspora, Balozi wa Marekani nchini Mhe. Mark Childress kwa pamoja na Bw. Ali Mufuruki, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maafisa Watendaji Wakuu nchini, Bw. Richard Miles, Mwakilishi wa Umoja wa Wafanyabiashara wa Marekani nchini na Dkt. Silencer Mapuranga, Mchumi kutoka ITC.
Balozi wa Marekani nchini, mhe. Childress akichangia mada kuhusu mabadiliko ya kiuchumi Tanzania wakati wa Kongamano la Diaspora.
Bw. Miles nae akichangia wakati wa mjadala kuhusu mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania na namna ya kuwashirikisha wafanyabiashara wadogo na wakati katika maendeleo ya nchi.
Balozi Mulamula akizungumza wakati wa mjadala huo 
Balozi wa China nchini, Mhe. Lu Youqing akiwasilisha mada kuhusu Mapinduzi ya Viwanda nchini na wajibu wa Diaspora katika ukuaji wa SME's
Balozi Lu akiwasilisha mada yake
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula kwa pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Uswisi, Mhe. Modest Mero wakimsikiliza Balozi wa China nchini (hayupo pichani) wakati akiwasilisha mada
Washiriki wakifuatilia mada kutoka kwa Balozi wa China
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Mhe. Hemed Mgaza akiwa na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Diplomasia, Dkt. Bernard Achiula wakisikiliza kwa makini uwasilishwaji wa mada wakati wa kongamano la Pili la Diaspora.
Mada zikitolewa
Maafisa Mambo ya Nje wakijadili jambo 
Timu ya Waandishi wa kumbukumbu za mkutano kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakinukuu taarifa mbalimbali wakati wa Kongamano la Diaspora ili kuweka kumbukumbu za tukio hilo sawasawa
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Rosemary Jairo akizungumza wakati wa kongamano hilo
Mada zikiendelea kutolewa wakati wa kongamano hilo 
Washiriki wa kongamano 


Picha na Reginald Philip

Rais Kikwete ashiriki hafla ya chakula cha jioni kuhitimisha Kongamano la Pili la Diaspora



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.
 Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Watanzania waishio Ughaibuni (Diaspora) hawapo pichani wakati wa hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa ajili ya kuhitimisha Kongamano la Pili la Diaspora katika Hotel ya Serena Jijini Dar es Salaam
Mhe. Rais akisisitizia jambo kwa Watanzania waishio Nje 
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora, Bi. Rosemary Jairo akimsikiliza Rais Kikwete (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Diaspora wakati wa hafla ya chakula cha jioni.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Balozi Irene Kasyanju (kulia) akiwa na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Afrika Bi. Zuhura Bundala (kushoto).
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hilo wakimsikiliza Mhe. Rais Kikwete (hayupo pichani).
 
Rais Kikwete akiendelea na hotuba yake
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula naye akizungumza wakati wa hafla hiyo ya chakula cha jioni.
Balozi Mulamula akiendelea kuzungumza

Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo.
Wana Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  wakati wa hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum kwa ajili ya kufunga Kongamano la pili la Diaspora. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mirisho Kikwete (kushoto) akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wa NHC kwenye masuala ya Diaspora Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa Bwa. Nehemia Mchechu (Kulia)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mirisho Kikwete (kushoto) akimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji kutoka Kampuni ya Huawei nchini Bw. Sung

Balozi wa China nchini, Mhe. Lu akizungumza na mdau walipo hudhuria hafla ya chakula cha jioni kwa ajili ya kuhitimisha Kongamano la Pili la Diaspora nchini 
Afisa Mambo ya Nje, Bw. Mugendi Zoka akibadilishana mawazo na Watanzania waishio Nje waliohudhuria hafla ya chakula cha jioni
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akizungumza  na Mkurugenzi Kitengo cha Sheria, Balozi Irene Kasyanju (kulia), na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Afrika Bi. Zuhura Bundala

Mkurugenzi Msaidizi, Bw. James Bwana (kulia),  akibadilishana Mawazo na Afisa Mambo ya Nje Bw. Hassan Mwamweta (kushoto).
Rais Kikwete (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora, Bi. Rosemary Jairo (kushoto) na kulia ni Mtoto wa Bi. Rosemary Jairo 
Rais Kikwete (mwenye tai nyekundu) akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na Watanzania waishio Nje.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Kamati iliyoandaa Kongamano hilo.













Picha na Reginald Philip.