Tuesday, August 18, 2015
Monday, August 17, 2015
Ambassador Designate Of India Presents Copies of Credential
Hon. Bernard Kamilius Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation receives Copies of Letters of Credence of H.E. Ambassador Sandeep Arya, the new High Commissioner of India to the United Republic of Tanzania.The Ceremony took place today in the Minister's Office in Dar es Salaam.
Hon. Membe (right) exchanges views with H.E. Arya.
Officials of the Ministry of Foreign Affairs take notes during the meeting. They are, from left: Thobias Makoba, Mkumbwa Ally and Emmanuel Luhangisa.
conversation in progress
The Deputy High Commissioner of India, Mr. Robert Shetkintong (Second left) and Ms. Deepa Sehgal, Second Secretary in the Mission (left) take notes during the meeting.
H.E. Arya presents a gift to Hon. Membe.
Photo By Reuben Mchome.
The Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Bernard Kamilius Membe today called for the resumption of Air India flights to Tanzania to further strengthen relations between Dar es Salaam and New Delhi.
Speaking after receiving copies of his credentials, Hon. Membe told the new Indian High Commissioner to Tanzania, H.E. Sandeep Arya, that revival of the historical communication link would stimulate trade between the two countries and facilitate easy movement of people.
It would also make it easier for people seeking medical attention in the Asian country. "India absorbs most of Tanzanians referred for treatment abroad and resumption of Air India flights will greatly ease their transition," he explained.
The Minister also urged the new envoy to support ongoing efforts to have India's Apolo chain of hospitals establish a center in Tanzania. He said apart from helping Tanzanians, the center could also carter for Tanzania's neighbors.
Hon. Membe said apart from health, Tanzania and India enjoyed robust cooperation in education and security sectors. Tanzania was also host to a sizable Indian community, which was law-abiding, he said.
Ambassador Arya undertook to push for resumption of Air India flights and expansion of economic cooperation between the two countries.
PRESS RELEASE
Friday, August 14, 2015
Naibu Waziri Mambo ya Nje aongoza ujumbe wa Tanzania Mkutano wa Baraza la Mawaziri SADC
Dkt. Stagomena Tax, Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC akitoa hotuba ya ufunguzi wa Kikao cha Baraza la Mawaziri wa jumuiya hiyo. |
Picha ya pamoja ya Mawaziri waliohudhuria Kikao cha Baraza la Mawazi wa Nchi wanachanama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC, Jijini Gaborone, Botswana tarehe 14-15 Agosti, 2015 |
Kongamano la Diaspora na Wajasiriamali likiendelea kwa siku ya pili jijini Dar es Salaam
Balozi wa Marekani nchini, mhe. Childress akichangia mada kuhusu mabadiliko ya kiuchumi Tanzania wakati wa Kongamano la Diaspora. |
Bw. Miles nae akichangia wakati wa mjadala kuhusu mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania na namna ya kuwashirikisha wafanyabiashara wadogo na wakati katika maendeleo ya nchi. |
Balozi Mulamula akizungumza wakati wa mjadala huo |
Balozi wa China nchini, Mhe. Lu Youqing akiwasilisha mada kuhusu Mapinduzi ya Viwanda nchini na wajibu wa Diaspora katika ukuaji wa SME's |
Balozi Lu akiwasilisha mada yake |
Washiriki wakifuatilia mada kutoka kwa Balozi wa China |
Mada zikitolewa |
Maafisa Mambo ya Nje wakijadili jambo |
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Rosemary Jairo akizungumza wakati wa kongamano hilo |
Mada zikiendelea kutolewa wakati wa kongamano hilo |
Washiriki wa kongamano |
Picha na Reginald Philip
Rais Kikwete ashiriki hafla ya chakula cha jioni kuhitimisha Kongamano la Pili la Diaspora
Mhe. Rais akisisitizia jambo kwa Watanzania waishio Nje |
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora, Bi. Rosemary Jairo akimsikiliza Rais Kikwete (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Diaspora wakati wa hafla ya chakula cha jioni. |
Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Balozi Irene Kasyanju (kulia) akiwa na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Afrika Bi. Zuhura Bundala (kushoto). |
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hilo wakimsikiliza Mhe. Rais Kikwete (hayupo pichani). Rais Kikwete akiendelea na hotuba yake |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula naye akizungumza wakati wa hafla hiyo ya chakula cha jioni. |
Balozi Mulamula akiendelea kuzungumza |
Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo. |
Wana Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania wakati wa hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum kwa ajili ya kufunga Kongamano la pili la Diaspora. |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mirisho Kikwete (kushoto) akimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji kutoka Kampuni ya Huawei nchini Bw. Sung |
Balozi wa China nchini, Mhe. Lu akizungumza na mdau walipo hudhuria hafla ya chakula cha jioni kwa ajili ya kuhitimisha Kongamano la Pili la Diaspora nchini |
Afisa Mambo ya Nje, Bw. Mugendi Zoka akibadilishana mawazo na Watanzania waishio Nje waliohudhuria hafla ya chakula cha jioni |
Mkurugenzi Msaidizi, Bw. James Bwana (kulia), akibadilishana Mawazo na Afisa Mambo ya Nje Bw. Hassan Mwamweta (kushoto). |
Rais Kikwete (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora, Bi. Rosemary Jairo (kushoto) na kulia ni Mtoto wa Bi. Rosemary Jairo |
Rais Kikwete (mwenye tai nyekundu) akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na Watanzania waishio Nje. |
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Kamati iliyoandaa Kongamano hilo. |
Picha na Reginald Philip.
Subscribe to:
Posts (Atom)