| Balozi Sokoine akizungumza kuwakaribisha Wageni waalikwa kwenye hafla ya kumuaga Balozi wa Sweden aliyemaliza muda wake wa kazi hapa nchini. |
| Balozi Hjelmaker nae akitoa neno la shukrani kwa Serikali ya Tanzania kwa kumpatia ushirikiano mkubwa katika kipindi chote cha miaka mitano aliyokuwepo hapa nchini kama Balozi wa Sweden. |
| Balozi Hjelmaker akizungumza huku wageni waalikwa wakimsikiliza |
|
| Balozi Kasyanju akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Hjelmaker na Balozi Mpango |
| Maafisa Mambo ya Nje walioshiriki hafla hiyo |
| Picha ya pamoja |
| Balozi Kasyanju akiagana na Balozi Hjelmaker mara baada ya hafla ya kumuaga kukamilika. Picha na Reginald Philip |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.