| Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (wa kwanza kulia), akiwa pamoja na Mashehe walioudhuria Futari hiyo |
| Waziri Membe akiendelea kuzungumza na kuwakarisha wageni wote nyumbani kwake |
| Wageni waalikwa |
| Sehemu nyingine ya Watumishi wa Wizara wakifuatilia hotuba mbalimbali wakati wa futari hiyo |
| Waziri Membe akimpongeza Kadhi Mkuu baada ya kuhutubia |
| Shehe akitoa dua kabla ya kuanza kufuturu |
| Dua ikiendelea |
| Mhe. Membe akiwaongoza wageni wake kuchukua futari |
| Waziri Membe akiwa katika picha ya pamoja na Mashehe na Wageni wengine aliwaalika kufuturu pamoja nae. Picha na Reginald Philip |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.