Friday, July 24, 2015

Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje afunga rasmi mafunzo ya SOFREMCO

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia, Balozi Mwanaidi Maajar wakati wa hafla fupi ya kufunga Mafunzo Maalum ya  Maafisa  Waandamizi wa Mambo ya Nje (SOFREMCO)  iliyofanyika Chuoni hapo Jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Kaimu Katibu Mkuu, Balozi Kasyanju na Balozi Maajar wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Chuo na Wizara pamoja na Wahitimu wa Mafunzo ya Maafisa Waandamizi wa Mambo ya Nje.
Baadhi ya wahitimu wa kozi hiyo ya SOFREMCO wakifurahia
Wahitimu wengine wakiwa wenye nyuso za furaha
Kundi jingine la wahitimu hao

Wakufunzi wa Chuo cha Diplomasia wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo
Wahitimu nao wakipata wasaa wa kujadili namna kozi ilivyokuwa
Wahitimu wakipata picha za pamoja kwa kumbukumbu
Picha ya pamoja ya Maafisa waliohitimu Kozi ya Maafisa Waandamizi wa Mambo ya Nje
Wakifurahia
Picha zaidi

Kaimu Katibu Mkuu, Balozi Kasyanju akiongozana na Balozi Maajar na Viongozi wengine mara baada ya hafla  fupi ya kuwapongeza Wahitimu wa Mafunzo ya SOFREMCO kukamilika.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.