Thursday, July 2, 2015

Wizar yaidhinisha Michoro ya Makao Makuu

Balozi Hassan Simba Yahya, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (kulia), na Bibi Li Xi, Mkurugenzi wa Idara ya Nje ya Taasisi ya Michoro ya Majeno na Utafiti ya Citic ya China, wakitia saini makubaliano ya michoro ya Makao Makuu Mapya ya Wizara jijini Dar Es Salaam jana.
Balozi Yahya na Bibi Li wakibadilishana hati za makubaliano waliyosaini.
Balozi Yahya na Bibi Li wakionyesha hati za makubaliano ya michoro ya Makao Makuu mapya ya wizara ya Nje.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.