Friday, June 2, 2017

Waziri Mahiga awasiliha Ujumbe Maalum nchini Kenya


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Rais wa Kenya, Mhe. Uhuru Kenyatta katika mji wa Nyeri tarehe 01 Juni 2017. Waziri Mahiga alikwenda nchini Kenya kuwasilisha Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Waziri Mahiga akiwa na Rais wa Kenya Mhe. Kenyatta walipoonana Nyeri, Kenya.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.