Friday, June 9, 2017

Wizara ya Mambo ya Nje yafanya uzinduzi wa shindano la kubuni nembo mpya ya EAC

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akizungumza katika halfa ya uzinduzi wa shindano ya kubuni nembo mpya ya Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na Taasisi zake kwa vijana wenye umri kati ya miaka 18 hadi 35 wa Jumuiya hiyo, uliofanyika katika Ukumbi wa Nkurumah, chuo kikuu cha Dar es Salaam tarehe 09 Juni, 2017. Pembeni ni Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam, Profesa Curthbert Kimambo.

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakifuatilia maelekezo ya vigezo vya shindano pamoja na zawadi zitakazotolewa kwa mshindi wa kwanza ambaye atapata dola za Kimarekani 25,000, wa pili dola  5,000 na wa tatu dola 2,500.

Sehemu nyingine ya Wanafunzi wakifuatilia maelekezo.

Picha ya pamoja uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje, Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Sekretarieti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Picha ya pamoja Viongozi na wanafunzi.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.