Tuesday, July 2, 2019

Balozi wa Tanzania nchini India akutana na Balozi Mteule wa India nchini

Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda akimkaribisha Balozi Mteule wa India nchini Tanzania, Mhe. Sanjiv Kohli alipomtembelea katika Ofisi za Ubalozi zilizopo jijini New Delhi tarehe 2 Julai 2019 na kufanya mazungumzo kuhusu kuimarisha ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na India kupitia wao kama wawakilishi wa nchi hizo. 
Mhe. Balozi Luvanda akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Kohli mara baada ya mazungumzo yao. Kushoto ni Afisa Ubalozi, Dkt. Kheri Goloka.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.