Thursday, July 11, 2019

Mhe. Balozi Seif Ali Idd atembelea maonesho ya 43 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba)


Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akisaini kitabu cha wageni, alipotembelea banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwenye maonesho ya 43 ya biashara ya kimataifa yanayoendea katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akisikiliza maelezo kutoka kwa Bi. Tagie Daisy Mwakawago Afisa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akisoma moja ya Kitabu cha Wizara hiyo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akipokea Vitabu vilichapishwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutoka kwa Bi, Tagie Daisy Mwakawago.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wizara alipotembelea banda la Wizara kwenye maonesho ya sabasaba





No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.