Thursday, July 4, 2019

Dkt. Mnyepe akutana na wadau wa maandalizi ya Mkutano wa SADC

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt, Faraji Kasidi Mnyepe amekutana na kufanya mazungumzo na wadau mablimbali ikiwa ni muendelezo wa maandalizi ya Mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utakaofanyika nchini Mwezi Agosti 2019.
Juu na chini Sehemu ya washiriki wa mkutano huo. 

Wadau wakichangia mada walipo kutana na Dkt. Mnyepe (hayupo pichani).
Sehemu nyingine ya wadau waliohudhuria kikao hicho.


Kikao kikiendela.






No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.