Sunday, January 19, 2020

UJUMBE MAALUM WA RAIS DKT MAGUFULI WAWASILI MUSCAT - OMAN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa na Mshauri Maalum wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Dkt. Salim bin Nassir Al Ismaili. Prof. Kabudi yuko Muscat - Oman kwa ajili ya kuwasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia kifo cha Sultan wa Oman, Sultan Qaboos  Bin Said Al Said aliyefariki Januari 10, 2020, pia kuwasilisha Salam za pongezi kwa Sultan Mpya wa Oman Mtukufu Haitham bin Tariq bin Taimur Al Said

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamgamba John Kabudi (Mb) akiwa na Mshauri Maalum wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Dkt. Salim bin Nassir Al Ismaili. Prof. Kabudi yuko Muscat - Oman. Kushoto ni Balozi wa Tanzania Nchini Oman Balozi Abdallah Abasi Kilima.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.