Saturday, July 21, 2012

Rais Kikwete ampokea Mhe. Barroso, Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EU)


Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimkaribisha Mhe. Jose Manuel Barroso, Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EU) mara baada ya kuwasili Ikulu leo tarehe 21 Julai, 2012.


Mhe. Rais Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mhe. Barroso mara bada ya kumpokea Ikulu leo.


Mhe. Rais Kikwete na Mhe. Barroso wakiwashuhudia Mhe. Dkt. William Mgimwa, Waziri wa Fedha wa Tanzania na Bw. Andris Piebalgs, Kamishna wa Maendeleo wa Umoja wa Ulaya wakisaini mikataba ya  ushirikiano katika sekta mbalimbali baina ya Tanzania na Umoja huo,  Ikulu jijini Dar es Salaam tarehe 21 Julai, 2012.


Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa pamoja na Bw. Ramadhan Kijjah (wa kwanza kulia), Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na mjumbe kutoka Wizara hiyo wakati mikataba ya ushirikiano baina ya Tanzania na Umoja wa Ulaya ikisainiwa Ikulu, Dar es Salaam leo.

Mhe. Rais Kikwete akifafanua jambo kwa Mhe. Barroso mara baada ya mazungumzo yao Ikulu leo.


Mhe. Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Mgimwa, Bw. Kijjah, Balozi Irene Kasyanju, Balozi Dorah Msechu na wadau wengine kutoka Serikalini mara baada ya kusaini mikataba na Umoja wa Ulaya, Ikulu leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya awasili nchini

Mhe. Dkt. William Mgimwa (Mb.), Waziri wa Fedha, akisalimiana na Mhe. Jose Manuel Barroso, Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya mara baada ya rais huyo na ujumbe wake kuwasili nchini jana kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Kushoto kwa Mhe. Mgimwa ni Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
 

Mhe. Dkt. Mgimwa akiwa katika mazungumzo na Mhe. Barroso mara baada ya kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataiafa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jana.
 
 
Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushrikiano wa Kimataifa akifafanua jambo kwa Bw. Andris Piebalgs ambaye ni mmoja wa wajumbe waliofutana na Mhe. Barroso hapa nchini.
 

Balozi Dora Msechu (kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa katika mazungumzo na mmoja wa wajumbe waliofuatana na Mhe. Barroso hapa nchini.
 
 
 
Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EU), Mhe. José Manuel Barroso akifuatana na Kamishina wa Maendeleo wa Umoja huo, Bw Andris Piebalgs, aliwasili nchini jana tarehe 20 Julai, 2012 kwa ziara ya kikazi ya siku tatu yenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika masuala ya uchumi na siasa baina ya Tanzania na Umoja huo.

Mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Mhe. Barroso alipokelewa na Mwenyeji wake Mhe. Dkt. William Mgimwa (Mb), Waziri wa Fedha, aliyekuwa amefuatana na Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa pamoja na Balozi Dora Msechu, Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Aidha, akiwa nchini, Mhe. Barroso ataonana kwa mazungumzo na Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 21 Julai, 2012 Ikulu, Dar es Salaam.

Pia, wakati wa ziara hiyo Mikataba sita ya misaada ya kifedha yenye thamani ya Euro milioni 126.5 kutoka Umoja huo itasainiwa pamoja na miradi mipya sita ya maendeleo kuzinduliwa ili kuwezesha upatikanaji wa maji safi, kuimarisha sekta ya usafiri wa barabara na miundombinu ya barabara za vijijini pamoja na kuimarisha masuala ya utawala bora na uwajibikaji.

Mhe. Barroso na ujumbe wake pia watatembelea miradi mbalimbali inayofadhiliwa na Umoja wa Ulaya hapa nchini ikiwemo Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es Salaam na miradi mingine ya maji iliyopo mkoani Mbeya.

Mhe. Barroso na ujumbe wake wataondoka nchini tarehe 22 Julai, 2012 kuelekea Brussels, Ubelgiji.

Friday, July 20, 2012

Hon. Membe's speech at the FOCAC


REMARKS BY MINISTER FOR FOREIGN AFFAIRS AND
INTERNATIONAL COOPERATION, HON. BERNARD K. MEMBE (MP)
ON THE 5TH MINISTERIAL CONFERENCE ON THE FORUM FOR CHINA AFRICA COOPERATION (FOCAC), 19TH JULY, 2012 BEIJING, CHINA


Co-Chairs of the Fifth Ministerial Conference of the Forum on China-Africa
Co-operation, Honourable Yang Jiechi, Foreign Minister of Peoples Republic
of China and Representative of Foreign Minister of Arab Republic of Egypt
Honorable Ministers,
Distinguished Delegates,
Ladies and Gentlemen,

Let me join others who spoke before me to thank the Government and people of the Great Republic of China for the warm hospitality which has been extended to me and my delegation since our arrival in this Beautiful city of Beijing.

I also join those who have spoken before me in hailing the renewed strategic partnership between China and Africa. It is indeed, a new milestone in a long history of friendship and cooperation between China and Africa. I have no doubt in my mind that the outcome of our meeting today paves way for us to build on past achievement and open up new prospects for the new type of China-Africa relations in different areas ranging from political, international, economic, development and cultural affairs.

Further, we are gratified to note that China has fulfilled the commitments contained in the measures to strengthen China-Africa Cooperation announced by Premier Wenjiabao in November 2009 in Sharm El Sheikh.  Such is a gesture of true friendship, partnership and a good intention that China has towards Africa. The implementation of those measures have brought vibrancy to the economic relations between China and Africa. Tanzania joins others African countries in reassuring China of our unwavering support, confidence and commitment towards China.

Our trade volumes have doubled from US$106.8 billion in 2008 to US$166.3 billion last year. A number of African countries have achieved significant increases in their trade exchanges with China, mainly because of China's commitment to open its market to African countries and their decision to phase in, under the South-South cooperation framework where African products have enjoyed zero tarrif treatment. Similar remakable success stories can be told in other areas of Investment, infrastructure development, ICT and many more.

The increase of trade and investment from China has also facilitated our people to people relations and social interactions. The Chinese community has expanded significantly in Africa and have well been integrated with the locals. We believe that it is important to transform further our relations from goverment to goverment to facilitate more exchanges of our people and private sectors, to cement further our relations and for its sustainability.

Co-Chairs,

It is our wish to see greater diversification to include value added products. To achieve  this, we would welcome additional investment by Chinese companies to raise Africa's productive capacity through addressing supplyside constraints, building of capacity in beneficiation, value-addition, manufacturing capacity, transfer of technology and investment in key enablers such as energy, transport infrastructure as well as information and information technology.

Co-Chairs, Ladies and Gentlemen,

At this juncture let me use this opportunity to express the gratitude of people of Tanzania to the People's Republic of China for their invaluable support in the form of grants and soft loans which has enabled us to undertake socioeconomic development projects for the wellbeing of our people. Indeed, China's support has always been from the heart to the heart!

Ladies and Gentlemen,
If there is anyone out there who still doubts the China-Africa partnership or if there is anyone who is envious of this partnership, or who is trying to break this cooperation, here is your advice: Dont waste you time. If anything, this partnership will be promoted and sustained.

We don’t need anybody to lecture us on who should be our best partner. We know who the best partner is.

Some countries advise their business communities on where to go and where not to go in Africa. They warn them not to go to countries infected with Malaria, drought, floods and civil war. CHINA DOES NOT. To the contrary, the Chinese can reach any country regardless of any problems.

Some countries put strict and difficult conditionality if we want to access development capital. CHINA DOES NOT. On the contrary, they provide, concessional loans and low interest rates. Indeed, they are, our best friends.

And Last but not least,I thank the senior officials for a job well-done to prepare the Beijing Declaration and the Beijing Action Plan (2012 – 2015) indeed they have simplified our work here today.


I thank you

Updates kuhusu Meli iliyozama Zanzibar

Maiti walioopolewa katika ajali ya meli sasa wamefikia 65. Juhudi za kutafuta maiti wengine zinaendelea katika eneo karibu na Kisiwa cha Chumbe ambapo meli ijulikanayo kama MV Skagit ilizama.

Aidha, katika ajali hiyo, kuna mtalii mmoja ambaye amefariki pamoja na watalii 11 ambao waliokolewa katika ajali hiyo kutoka nchi za Uholanzi, Ubelgiji, Marekani pamoja na Ujerumani.

Thursday, July 19, 2012

Joint Communique between Tanzania and Liberia

JOINT COMMUNIQUE ISSUED AT THE END OF THE
STATE VISIT TO THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
BY H.E. ELLEN JOHNSON SIRLEAF, PRESIDENT OF THE
REPUBLIC OF LIBERIA, 19TH JULY, 2012


1.         At the invitation of H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, H.E. Ellen Johnson Sirleaf, President of the Republic of Liberia paid a three-day State Visit to the United Republic of Tanzania from 17th to 19th July, 2012.  H.E. President Sirleaf was accompanied by a high powered delegation of the Government of the Republic of Liberia.

2.         Upon arrival at the Julius Nyerere International Airport, H.E. Ellen Johnson Sirleaf was received by her host, H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete, Honourable Ministers as well as other senior officials of the Government of the United Republic of Tanzania.

3.         The three-day visit was an opportunity for enhancing and strengthening the brotherly relations that so happily exist between the Governments and peoples of the United Republic of Tanzania and the Republic of Liberia.

4.         While in the country, President Ellen Johnson Sirleaf held official talks with her host, President Jakaya Mrisho Kikwete.  During their talks, the two Presidents expressed their satisfaction on the excellent fraternal relations that so happily exist between the Governments and peoples of the United Republic of Tanzania and the Republic of Liberia.  In that connection, they expressed their hope that the visit of the Liberian President would further enhance and consolidate these relations.

5.         The two Presidents briefed each other on the political and economic situation prevailing in their two respective countries and expressed their satisfaction on the progress made in these areas.  In that regard, they underscored the need to explore areas of socio-economic cooperation.  Tanzania expressed its desire to learn from the Liberian experience in iron ore production and the management of the rubber industry.   For its part, Liberia indicated its wish to apply lessons learned from Tanzania’s experience and success for the revitalization of Liberia’s coffee program and fishing industry.

6.         Recognizing the importance of peace and stability in the African continent, the two Presidents exchanged views on the situation obtaining in the Democratic Republic of Congo (DRC), Guinea Bissau, Mali and Somalia.  In that regard, the two Presidents undertook to continue working together with a view to finding lasting solutions to the on-going crisis in the respective countries.

7.         On 18th July, 2012,   H.E. President Sirleaf launched the African Leaders Malaria Alliance (ALMA) offices in Dar es Salaam and participated in an interactive discussion on “The Role of Women in African Development” at the University of Dar es Salaam.  On 19th July, 2012 while in Arusha, she made a tour of the Africa Technical Research Centre.  She also made a tour of the A to Z Textile Mills Limited which manufactures treated mosquito bed nets.

8.         At the conclusion of her State Visit, H.E. President Ellen Johnson Sirleaf expressed her gratitude to the Government and People of the United Republic of Tanzania for the warm welcome and hospitality accorded to her and her delegation during the visit.

9.         President Ellen Johnson Sirleaf extended an invitation to President Jakaya Mrisho Kikwete to visit Liberia at his convenient time.  The invitation was accepted with pleasure and the exact dates shall be communicated through the diplomatic channels.

10.       H.E. President Sirleaf and her entourage departed Tanzania for a return journey  to Liberia on 19th July, 2012 .


ISSUED AT ARUSHA, 19TH JULY, 2012

Liberian President ends her official visit in Tanzania


President Jakaya Mrisho Kikwete shakes hands with his counterpart, President Ellen Johnson Sirleaf of the Republic of Liberia after the Joint Communique was read by Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (right), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation.


Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP), reads a Joint Communique between the United Republic of Tanzania and the Republic of Liberia.


President Sirleaf says goodbye to traditional dance groups at the Kilimanjaro International Airport in Aursha today.  President Sirleaf ended her two days official visit in the country.



 President Sirleaf waves at crowd that had garthered at the airport, prior to say goodbye to President Kikwete and the First Lady Mama Salma Kikwete.
  

President Kikwete expressing something to Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (left) and to Regional Commissioner for Arusha, Hon. Magesa Stanslaus Mulongo (center).  Other in the photo is the First Lady Mama Salma Kikwete (right).


Regional Commissioner for Arusha, Hon. Magesa Stanslaus Mulongo joins the traditional dancers, together with Ms. Helen and Ms. Fatma of the Department of Africa at the Ministry of Foreign Affairs.  Hon. Mulongo had just finished saying goodbye to the Liberian President who had just ended her two days official visit to Tanzania.


Earlier in the day, President Sirleaf toured the A to Z Textile Mills Ltd., the manufacturing company in Arusha that produces mosquito nets.

President Sirleaf of the Republic of Liberia listens to Mr. Anuj Shah as he explains the process of making mosquito nets.  Mr. Shah is the CEO of the A to Z Textile Mills Limited.  Others in the photo are Hon. Sophia Simba (left), Minister for Community Development, Gender and Children and Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (3rd left), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation and Regional Commissioner for Arusha, Hon. Magesa Stanslaus Mulongo (right).


President Sirleaf inspects the mosquito nets during her tour at the A to Z Textile Mills Limited in Arusha.




A group photo of President Sirleaf, together with members of the A to Z Textile Mills Limited.  Others in the photo are Hon. Sophia Simba (3rd front-right), Hon. Sylvester Grigsby (1st front-left), Minister of Foreign Affairs in the Republic of Liberia, Hon. Mahadhi Juma Maalim (2nd front-left), Ambassador Liberata Mulamula (1st front-right), Senior Advisor to President Kikwete (Diplomatic Affairs) and Hon. Magesa Stanslaus Mulongo (2nd front-right).
  

A special gift, a Maasai traditional dress is presented o President Sirleaf 


A group photo with President Sirleaf in a Maasai traditional outfit which was gifted to her by the Regional Commissioner for Arusha, Hon. Magesa Stanslaus Mulongo.




HAFLA YA KUMUAGA BALOZI WA HISPANIA‏

Balozi Rajabu Gamaha, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, akimkabidhi zawadi Mhe. Juan Manuel Gonzalez de Linares Palou, Balozi wa Hispania aliyemaliza muda wake wa kazi hapa nchini. Hafla hiyo ilifanyika jana katika Hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam.


Mkurugenzi wa Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju (katikati) akiwa na baadhi ya Wageni waalikwa waliofika kwenye hafla hiyo akiwemo  Mhe. Mhe. Alfonso Leinherdt (kulia) Balozi wa Marekani hapa nchini.

Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Dora Msechu (wa kwanza kushoto) akiwa na baadhi ya Mabalozi walioalikwa kwenye hafla ya kumuaga Balozi Juan (wa kwanza kulia).


Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kulia) akiwa na Mhe. Juan (katikati),  Balozi wa Hispania anayeondoka pamoja Mhe. Yudhistiranto Sungadi (kushoto), Balozi wa Indonesia hapa nchini katika hafla ya kumuaga Balozi Juan.Picha zote na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Taarifa kuhusu ajali ya meli Zanzibar

 
TAARIFA YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KUFUATIA AJALI YA KUZAMA KWA MELI YA MV SKAGIT ILIYOTOKEA TAREHE 18 JULAI, 2012, CHUMBE, ZANZIBAR


​Jana tarehe 18 Julai, 2012, majira ya alasiri kumetokea ajali ya kuzama kwa meli ya MV SKAGIT katika eneo la Chumbe, Zanzibar.  Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kueleka Zanzibar ilikuwa imebeba watu 290. Kati yao watu wazima 250, watoto 31 na wafanyakazi wa meli 9.  

Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete aliagiza vyombo vya ulinzi na usalama vya Serikali ya Muungano yaani JWTZ na  Polisi waanze kazi ya uokoaji mara moja.

​Kazi hiyo imefanywa kwa kushirikiana na vyombo vya usalama vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na meli za makampuni binafsi.  Mpaka giza lilipokuwa limeingia na hivyo kazi ya uokoaji kusitishwa mpaka kutakapokucha tarehe 19 Julai, 2012, watu 136 walikuwa wameokolewa na maiti 31 zilikuwa zimepatikana. Aidha, mali zilizokuwa kwenye meli hiyo hazikuweza kuokolewa.  

​Kufuatia ajali hiyo, Rais wa Jamhuri ya Muungano alizungumza na Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.  Alimpa pole kwa ajali iliyotokea hasa kwa vifo na majeraha waliyopata Watanzania wenzetu na watu wasiokuwa raia wa Tanzania.  Alimuomba afikishe salamu za rambirambi kwa ndugu zetu waliopotelewa na jamaa zao na kuwapa pole waliopata majeraha na maumivu maungoni mwao. Rais wa Jamhuri ya Muungano alisema kuwa huu ni msiba wetu sote na kwamba majonzi yao ni majonzi yake na ya Watanzania wote.  Kwa ndugu zetu waliojeruhiwa tunawaombea kwa Mwenyezi Mungu awape ahueni na wapone haraka ili waweze kuendelea na shughuli zao za kujiletea maendeleo na kulijenga taifa letu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein na viongozi wote wa ngazi mbalimbali kwa uongozi wao thabiti tangu taarifa ya kutokea kwa ajali mpaka sasa.  Aidha, amewapongeza maafisa na askari wa vyombo vya ulinzi na usalama na wafanyakazi wa meli binafsi, kwa juhudi kubwa walizozifanya za uokoaji wa ndugu zetu waliopatwa na maafa haya makubwa na ya aina yake.  Amewataka waendeleze juhudi hizo leo na siku zijazo.

​Rais amewataka wananchi wawe na moyo wa subira na uvumilivu wakati kazi ya uokoaji inaendelea.  Kama ilivyofanyika katika ajali ya MV Spice Islander miezi 10 iliyopita, uchunguzi wa kina utafanyika kubaini chanzo cha ajali.

​Kutokana na ajali hiyo na msiba huu mkubwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ametangaza maombolezo ya taifa ya siku tatu ambapo bendera zitapepea nusu mlingoti kuanzia leo, tarehe 19 Julai, 2012.

​Asanteni sana.

 

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
19  Julai, 2012

 

 

 

Wednesday, July 18, 2012

Arusha welcomes President Sirleaf

Regional Commissioner for Arusha, Hon. Magesa Stanslaus Mulongo introduces President Ellen Johnson Sirleaf of the Republic of Liberia to the Member of Regional Security Committe of Arusha.  Others in the photo are Hon. Sophia Simba (right), Minister for Community Development, Gender and Children and Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (2nd right), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation. 


President Sirleaf enjoys the Maasai traditional jumping dance upon her arrival at the Kilimanjaro International Airport (KIA).


 

Women's group welcoming and entertaining President Sirleaf, who is in Arusha for a visit at A to Z Mosquito Net Factory prior to the climax of her two days official tour in Tanzania. 

  
Various women's group entertaining President Sirleaf.


President Sirleaf enjoys the traditional dances entertainment, together with Hon. Simba (left to her), RC of Arusha Hon. Mulongo, (1st right) and Ambassador Liberata Mulamula, Senior Advisor to the President  - Diplomatic Affairs (2nd left).


Regional Commissioner for Arusha, Hon. Magesa Stanslaus Mulongo welcomes President Ellen Johnson Sirleaf to Arusha Region.  President Sirleaf is in Arusha for her final official tour where she is scheduled to visit A to Z Mosquito Net Factory prior to her return to Liberia.


UDSM welcomes President Sirleaf of Republic of Liberia


President Ellen Johnson Sirleaf of the Republic of Liberia gives her public lecture at University of Dar es Salaam, where large number of scholars turned-out to witness the historical moment.   Prior to that, President Sirleaf was awarded the Prestigious Univeristy of Dar es Salaam 50th Anniversary Golden Jubilee Award.

Listening on to President Sirleaf's lecture was Dr. Asha-Rose Migiro, former Deputy Secretary General of the United Nations (3rd right-front row), Chairman Reginald Mengi (4th right-front row) of IPP Group and Hon. Mahadhi Juma Maalim (Mb) (2nd right-2nd row), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation. 
  
President Sirleaf continues with her public lecture that was also attended by Hon. Sophia Simba (1st left), Minister for Community Development, Gender and Children, Professor Rwekaza Mukandala (2nd left), Vice Chancellor of the University of Dar es Salaam and Professor Y. Mgaya (3rd left), Deputy Vice Chancellor of the University.  President Sirleaf is also a winner of the Nobel Peace Prize.

Large turnout of scholars from the University of Dar es Salaam and other schools within proximity filled out the Nkrumah Hall, listening to public lecture conducted by President Sirleaf of Republic of Liberia.

Dr. Asha-Rose Migiro also shared her experience as a Former United Nations Deputy Secretary General, the African Union position on the permanent seat for the Security Council for the United Nations and the MDGs implementation and post MDGs 2015.


Ambassador Getrude Mongella, the former and first president of the African Union Parliament was also among the distinguished guests in the audience.

Ambassador Liberata Mulamula, President Kikwete's Senior Advisor - Diplomatic Affairs was also among the distinguished guests in attendance.

British High Commissioner to Tanzania, Ambassador Diane Corner and United Nations Resident Coordinator, Mr. Alberic Kacou were also present. 

Other distinguished guests in attendance were Ms. Tonia Kandiero (left -2nd row), Resident Representative for the African Development Bank (AfDB) in Tanzania, Ambassador Alfonso Lenhardt (2nd left-2nd row) of the United States of America to Tanzania, Mr. Jatinto Januario Maguni (3rd left - 2nd row), Deputy High Commissioner for the High Commission of Mozambique to Tanzania, Mr. Omary Mjenga (2nd right - 2nd row), Country Representative for the United Nations Office for Projects Services in Sierra Leone (UNOPS) and High Commissioner of Nigeria.

Uteuzi wa Dkt. Wilbald Lorri kuwa Msaidizi wa Rais, Masuala ya Lishe

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116898
              press@ikulu.go.tz             

Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
      THE STATE HOUSE,
              P.O. BOX 9120,  
DAR ES SALAAM.
Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Wilbald Lorri kuwa Msaidizi wa Rais, Masuala ya Lishe (Nutrition).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatano, Julai 18, 2012 na Ofisi ya Katibu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue, kupitia Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, inasema kuwa uteuzi huo wa Dkt. Lorri ulianza tokea Juni Mosi, 2012.
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Lorri ambaye ana shahada ya uzamivu (PhD) katika Sayansi ya Lishe alikuwa mtaalam wa lishe katika Mradi wa Feed the Future unaoendeshwa nchini na Shirika la Maendeleo la Marekani  - USAID.
Aidha, kati ya mwaka 1994 na 2003, Dkt Lorri alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula na Lishe Tanzania – (Tanzania Food and Nutrition Centre).

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
18 Julai, 2012

President Kikwete and President Sirleaf launch ALMA offices


President Jakaya Mrisho Kikwete and his counterpart, President Ellen Johnson Sirleaf of the Republic of Liberia today officially launched the African Leaders Malaria Alliance (ALMA) offices in Dar es Salaam Tanzania.  The ceremony was witnessed by distinguished members of diplomatic corps, public and private institutions and members of media.


President Kikwete gives his opening remarks during the official launching of ALMA offices in Dar es Salaam.

President Kikwete shows data scorecard of all member countries based on ALMA researches.


Distinguished guests, including H.E. Ambassador Alfonso Lenhardt, United States Ambassador to the United Republic of Tanzania listening to President Kikwete's opening remarks during the official launching of ALMA offices.   


President Sirleaf gives her remarks.

President Kikwete reviewing the ALMA scorecard for accountability, citing successful results on Malaria preventions and challenges African nations still face in combatting the disease.


President Kikwete congratulating President Sirleaf on her speech.


A group photo of both Presidents and influential figures in the launching of ALMA.


President Kikwete and President Sirleaf


President Kikwete talks to members of media.