Thursday, June 26, 2014

Press Release

H.E Barack Obama

                                          
                                            PRESS RELEASE

H.E President Jakaya  Mrisho  Kikwete of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E Barack Obama on the occasion of 238 years of Independence on 26th June 2014.


        “H.E. Barack Obama
President of the United States of America
Washington D.C.
USA.

On behalf of the Government and People of the United Republic of Tanzania and indeed on my own behalf, I wish to convey my sincere congratulations to you and through you to the Government and People of the United States of America on the occasion of your country’s Independence Day.

The celebration of your country’s Independence day offers us yet another opportunity to reaffirm our commitment to continue working closely together in enhancing the existing bilateral ties between our two countries.

 I am confident that the bonds of friendship, co-operation and partnership that our two countries enjoy will continue to grow in greater heights for the mutual benefit of our two countries and peoples.


Please accept, Your Excellency, my best wishes for Your continued good health and prosperity.


Issued by the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam

26th June 2014

Wednesday, June 25, 2014

President Kikwete arrives Equatorial Guinea for AU Summit

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili mjini Malabo, Equatorial Guinea kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika. 






Matukio mbalimbali ya ziara ya Makamu wa Rais wa China Zanzibar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao akivalishwa shada la maua huku Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akishuhudia mara baada ya kuwasili  Mhe. Li kuwasili Zanzibar kwa ziara ya siku mbili Visiwani humo
Mhe. Li akisalimiana na  Mhe. Yusuph Mzee, Waziri wa Fedha wa Zanzibar pamoja na Viongozi wengine wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliofika kumpokea.
Mhe. Li akisalimiana na Balozi Silima Haji, Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar


Mhe. Li pamoja na Mawaziri  katika picha ya pamoja na Madaktari kutoka China wanaotoa huduma katika Hospitali za Zanzibar
Mhe. Li na Mhe. Balozi Idd wakiwa wamewasili kwa ajili ya kuanza mazungumzo rasmi kuhusu ushirikiano kati ya Zanzibar na China.
Mhe. Balozi Idd akiwa na baadhi ya Mawaziri waliohudhuria mazungumzo kati yake na Makamu wa Rais wa China (hayupo pichani)


Mhe. Li na baadhi ya wajumbe alifuatana nao katika mazungumzo na Mhe. Balozi Idd (hayupo pichani)
Mhe. Li na ujumbe wake wakati wa mazungumzo.
Mhe. Balozi Idd na ujumbe wake wakati wa mazungumzo na Mhe. Li  na ujumbe wake (hawapo pichani)
Sehemu nyingine ya ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo. Wa tatu kutoka kulia ni Balozi Mbelwa Kairuki, Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Mhe. Li na Mhe. Balozi Idd wakishiriki hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa kwa heshima ya Makamu huyo wa Rais kutoka China

Mhe. Li akisaini Kitabu cha Wageni alipotembelea Shamba la Viuongo vya Chakula huko Kizimbani Zanzibar
Mhe. Li akiangalia moja ya kiuongo aina ya manjano au tumeric alipotembelea shamba la viungo vya chakula huko Kizimbani Zanzibar. Anayempatia kiungo hicho ni Bw. Fumu Ali Garo.
Mhe. Li akiwaonesha kitu kwa mbali Wajumbe aliofuatana nao mara baada ya kutembelea eneo la kihistoria la Ngome Kongwe Zanzibar. Mwenye tai nyekundu ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Mhe. George Mkuchika.
Mhe. Li akipata maelezo kuhusu historia ya watawala wa kiarabu waliowahi kuitawala Zanzibar zamani kutoka kwa Mkurugenzi wa Makumbusho na Mambo ya Kale, Bi Amina Ameir.



Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika, Malabo, Equatorial Guinea

Mhe. Bernard K. Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania akitoa mchango wa Tanzania kwenye Kikao cha Mawaziri wa Umoja wa Afrika. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na kwenye Umoja wa Afrika Mhe. Naimi Aziz na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Christopher Chiza wakifuatilia mchango huo kwenye mkutano unaoendelea Mjini Malabo Equatorial Guinea tarehe 23-24 Juni 2014.



Mhe. Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa kwenye mazungumzo ya faragha na Mawaziri wenzake wa Mambo ya Nje wa Botswana (juu) Mhe. P.T.C. Skelemani na (chini) Mhe. Netumbo Nandi Ndaitwah wa Namibia pembezoni mwa mikutano ya Mawaziri wa Umoja wa Afrika Mjini Malabo, Equatorial Guinea tarehe 23-24 Juni 2014.



Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akifuatilia majadiliano ya vikao vya wataalam kabla ya Kikao cha Mawaziri kuanza. Wengine pichani ni maafisa wa Mambo ya Nje Sam Shelukindo, Elisha Suku  na Zuleha Khamis. 


Tuesday, June 24, 2014

Makamu wa Rais wa China afungua Kongamano la Taasisi ya Utamaduni Barani Afrika na kuweka Jiwe la Msingi la Ubalozi wa China nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufungua rasmi Kongamano la Pamoja kwa Taasisi za Confucius Barani Afrika. Taasisi ya Confucius  inajishughulisha na ukuzaji utamaduni na lugha mbalimbali za Afrika  na China ambapo kwa hapa nchini ina matawi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kile cha Dodoma.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Rwekaza Mukandala akimkaribisha Mhe. Dkt. Bilal kuhutubia wajumbe waliohudhuria ufunguzi wa kongamano hilo.
Mhe. Dkt. Bilal akizungumza.

Wajumbe wakimsikiliza Mhe. Dkt. Bilal (hayupo pichani
Mhe. Li naye akizungumza

Mhe. Dkt. Bilal akimsikiliza Mhe. Li (hayupo pichani)

Vikundi vya burudani vikitumbuiza wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pamoja kwa Taasisi za Confucius Barani Afrika. Juu ni kikundi cha ngoma kutoka Mkoa wa Dodoma na chini ni Vijana kutoka Chuo Kikuu cha UDOM wakionesha utamaduni wa Kichina wa Kung-Fu.
Mhe. Dkt. Bilal na Mhe. Li wakifurahia burudani zilizokuwa zikitolewa na vikundi mbalimbali (havipo pichani)
Picha ya pamoja.

......Uwekaji Jiwe la Msingi la Jengo la Ubalozi wa China nchini......

Mhe. Li akisalimiana na raia wa China wanaoishi hapa nchini kabla ya kuweka Jiwe la Msingi la Jengo la Ubalozi wa China hapa nchini
Mhe. Bilal na Mhe. Li kwa pamoja na wajumbe wengine wakichota mchanga kuashiria uwekaji wa Jiwe la Msingi la Jengo la Ubalozi wa China hapa nchini litakalojengwa katika Makutano ya Mtaa wa Sokoine na Shaaban Robert Jijini Dar es Salaam
Picha ya pamoja baada ya kuweka Jiwe la Msingi

Picha na Reginald Philip

Mhe. Rais amwapisha Balozi Sokoine

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Balozi Joseph Edward Sokoine ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Hafla hiyo ilifanyika, Ikulu, Dar es Salaam tarehe 24 Juni, 2014 
Wakurugenzi Wasaidizi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nao walikuwepo kushuhudia kuapishwa kwa Balozi Sokoine. Kutoka kulia ni Bibi Victoria Mwakasege, Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Ulaya na Amerika, Bw. Innocent Shiyo, Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Ulaya na Amerika

Balozi Sokoine akisaini hati ya kiapo mbele ya Mhe. Rais Kikwete
Wageni waalikwa wakishuhudia tukio hilo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule akisalimiana na Mama mzazi wa Balozi Sokoine ambaye alikuwepo kushuhudia tukio hilo.
Mhe. Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Sokoine pamoja na ndugu, jamaa na marafiki wa balozi huyo.
Mhe. Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Sokoine, Katibu Mkuu Haule pamoja na Wakurugenzi na wajumbe wengine kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Picha na Reginald Philip



Balozi Sokoine apokelewa kwa shangwe Wizara ya Mambo ya Nje

Balozi Joseph Sokoine ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika akisalimiana na Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uswisi,  Robert Kahendaguza huku Wafanayakazi wengine wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakishangilia mara baada ya Balozi Sokoine kuwasili Wizarani baada ya kuapishwa.
Balozi Sokoine akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bi. Glory Mboya mara baada ya kuwasili Wizarani baada ya kuapishwa.


Balozi Sokoine akisalimiana kwa furaha na Bw. Kelvin Kheri mmoja wa Wafanayakazi Wizarani.

Mapokezi yakiendelea.

Balozi Sokoine akisalimiana na Wafanyakazi wa Wizara walipompokea kwa furaha 
Balozi Sokoine akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule (katikati) pamoja na Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Balozi Irene Kasyanju mara baada kuwasili.

Picha na Reginald Philip