| Balozi Sokoine akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bi. Glory Mboya mara baada ya kuwasili Wizarani baada ya kuapishwa. |
| Balozi Sokoine akisalimiana kwa furaha na Bw. Kelvin Kheri mmoja wa Wafanayakazi Wizarani. |
| Mapokezi yakiendelea. |
| Balozi Sokoine akisalimiana na Wafanyakazi wa Wizara walipompokea kwa furaha |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.