Friday, June 27, 2014

Naibu Katibu Mkuu afunga rasmi mafunzo ya SOFREMCO

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika Chuo cha Diplomasia (CFR) kilichopo Kurasini Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwakabidhi Vyeti Wahitimu 30 wa Mafunzo Maalum kwa Maafisa Waandamizi  wa Mambo ya Nje (SOFREMCO) kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, (kushoto) ni Kaimu mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia Dr. Bernard Archiula.
Balozi Gamaha akihutubia kabla ya kutoa vyeti kwa wahitimu hao (hawapo pichani)
Wahitimu wakimsikiliza Balozi Gamaha (hayupo pichani) alipozungumza nao.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia, Balozi Mwanaidi Maajar naye akizungumza na Wahitimu wa Mafunzo Maalum kwa 
Sehemu ya Wahitimu hao wakimsikiliza Balozi Maajar (hayupo pichani)
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Diplomasia, Dkt. Bernard Achiula akizungumza na wahitimu hao.
Sehemu nyingine ya wahitimu hao.
Mwakilishi wa Wahitimu hao, Bw. Hassan Mwamweta  akitoa neno la shukrani.
Balozi Gamaha akimkabidhi Cheti  kwa mmoja wa Wahitimu hao Bi. Rose Kitandula.
Balozi Gamaha akimkabidhi cheti Bw. Idd Bakari mbaye ni mmoja wa Wahitimu hao
Picha ya pamoja

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.