| Balozi Gamaha akihutubia kabla ya kutoa vyeti kwa wahitimu hao (hawapo pichani) |
| Wahitimu wakimsikiliza Balozi Gamaha (hayupo pichani) alipozungumza nao. |
| Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia, Balozi Mwanaidi Maajar naye akizungumza na Wahitimu wa Mafunzo Maalum kwa |
| Sehemu ya Wahitimu hao wakimsikiliza Balozi Maajar (hayupo pichani) |
| Kaimu Mkuu wa Chuo cha Diplomasia, Dkt. Bernard Achiula akizungumza na wahitimu hao. |
| Sehemu nyingine ya wahitimu hao. |
| Mwakilishi wa Wahitimu hao, Bw. Hassan Mwamweta akitoa neno la shukrani. |
| Balozi Gamaha akimkabidhi Cheti kwa mmoja wa Wahitimu hao Bi. Rose Kitandula. |
| Balozi Gamaha akimkabidhi cheti Bw. Idd Bakari mbaye ni mmoja wa Wahitimu hao |
| Picha ya pamoja Picha na Reginald Philip |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.