| Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Rwekaza Mukandala akimkaribisha Mhe. Dkt. Bilal kuhutubia wajumbe waliohudhuria ufunguzi wa kongamano hilo. |
| Mhe. Dkt. Bilal akizungumza. |
| Wajumbe wakimsikiliza Mhe. Dkt. Bilal (hayupo pichani |
| Mhe. Li naye akizungumza |
| Mhe. Dkt. Bilal akimsikiliza Mhe. Li (hayupo pichani) |
| Mhe. Dkt. Bilal na Mhe. Li wakifurahia burudani zilizokuwa zikitolewa na vikundi mbalimbali (havipo pichani) |
Picha ya pamoja.......Uwekaji Jiwe la Msingi la Jengo la Ubalozi wa China nchini...... |
| Mhe. Li akisalimiana na raia wa China wanaoishi hapa nchini kabla ya kuweka Jiwe la Msingi la Jengo la Ubalozi wa China hapa nchini |
| Picha ya pamoja baada ya kuweka Jiwe la Msingi Picha na Reginald Philip |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.