Wednesday, June 18, 2014

Makamu wa Rais atembelea mradi wa Dubai Sports City

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Ghalib Bilali, leo ametembelea mradi mpya wa Dubai Sports City, kujionea ramani ya mradi huo mkubwa wa kijiji cha michezo cha Dubai. kulia kwa makamu wa Rais, ni Bw. MOhamed Sharif, Mtanzania ambaye ni mtendaji Mkuu wa Mradi wa Dubai Sports City, na kushoto ni Balozi Mdogo Dubai, Omar Mjenga 

Ujumbe ulio ambatana na Makamu wa Rais nao wakitazama ramani ya mradi huo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.