Friday, June 20, 2014

Waziri Membe azungumza na Balozi wa Oman nchini


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard K. Membe (Mb), akimkaribisha ofisini kwake Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Soud Al Mohammed Al-Ruqaish alipofika kwa ajili ya mazungumzo yaliyojikita katika kuimarisha mahusiano kati ya nchi hizi mbili mapema leo tarehe 20 Juni, 2014, Jijini Dar es Salaam.
Waziri Membe akifafanua jambo wakati wa mazungumzo na Balozi wa Oman nchini
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga na Afisa Mambo ya Nje, Batholomeo Jungu wakifuatilia mazungumzo kati ya Mhe. Membe na Balozi wa Oman  hapa nchini (hawapo pichani)
Waziri Membe pamoja na Balozi wa Omani wikifurahia jambo wakati wa mazungumzo yao wa kwanza kushoto ni Afisa aliyeambatana na na Balozi wa Oman.
Picha ya pamoja.


Picha na Reginald Philip



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.