Friday, June 7, 2019
Wednesday, June 5, 2019
Maandalizi Ya Mkutano Wa Jumuiya Ya Maendeleo Ya Nchi Za Kusini Mwa Afrika (SADC) Yaanza
Maafisa wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC walioambatana na Dkt. Stagomena Tax wakisikiliza kwa makini mkutano huo. |
Prof. Kabudi azungumza na Idara ya Itifaki ya Wizara yake.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akutana kwa mara ya kwanza na kiting cha Itifaki cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki |
Sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Idara ya Itifaki wakimsikiliza Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi ambaye hayupo pichani alipozungumza nao |
Sehemu nyingine ya Watumishi wakifurahia jambo wakati wakimsikiliza Mhe. Prof. Kabudi (hayupo pichani) |
Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa kwenye mkutano wao na Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (hayupo pichani). |
Mhe. Prof. Kabudi akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Idara ya Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. |
Dkt. Mnyepe afanya mazungumzo na Balozi wa Msumbiji hapa nchini.
Tuesday, June 4, 2019
Prof. Kabudi afanya mazungumzo na Mwakilishi wa UNESCO nchini Tanzania.
Bw. Santos akimweleza jambo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi |
TAARIFA KUHUSU UTHIBITISHAJI WA NYARAKA
Dodoma, 04
Juni 2019
TAARIFA KUHUSU UTHIBITISHAJI WA NYARAKA
Wizara ya Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuufahamisha Umma kwamba, kuanzia
tarehe 20 Mei, 2019 malipo yoyote Kwa Wizara yanafanyika kwa njia ya
Kielektroniki kupitia mfumo wa GOVERNMENT ELECTRONIC PAYMENT GATEWAY (GePG).
Hivyo, wateja wote
watakao hitaji kufanya malipo ya uthibitisho wa nyaraka mbalimbali zikiwemo;
vyeti vya talaka, ndoa, kuzaliwa, Kifo n.k wanapaswa kabla ya kufanya malipo
yoyote kuwasiliana na ofisi za Wizara kupitia vituo vyake vilivyopo Dodoma, Dar
es salaam na Zanzibar ili kupatiwa ‘Control
Number’ ili kufanikisha malipo husika kupitia Akaunti ya Benki ya CRDB.
Wateja
wanaoleta nyaraka hizo kwa uthibitisho, wanaendelea kukumbushwa pia kukamilisha
hatua muhimu kabla ya kupatiwa ‘Control
Number’ ikiwemo kupelekwa kwanza
katika Mamlaka na Taasisi husika zilizotoa vyeti/nyaraka hizo ili vihakikiwe na
kuthibitishwa.
UMMA WOTE UNAOMBWA KUZINGATIA RAI KWAMBA, MALIPO
YOYOTE YATAKAYOFANYIKA KINYUME NA MAELEKEZO BAADA YA TANGAZO HILI,
HAYATOPOKELEWA
Imetolewa
na:
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki,
|
Friday, May 31, 2019
PRESS RELEASE
Dodoma, 31 Mei 2019
PRESS RELEASE
Job Announcement at the African Commission for Nuclear Energy
The Ministry of Foreign Affairs and
East African Cooperation has received vacancy notification from the African
Commission for Nuclear Energy (AFCONE) inviting qualified Tanzanians to apply
for the post of Desk Officer available at the AFCONE.
For more details and application
instructions, candidates are advised to visit: https://www.pnet.co.za/cmp/en/African-Commission-on-Nuclear-Energy-AFCONE-27508/work.html.
Application deadline is 16th June 2019.
Issued by;
Government Communication Unit,
Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
|
Bunge laidhinisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Kangi Lugola (Mb.) naye akichangia hoja kwenye Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. |
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Willium Lukuvi (Mb.) naye akichangia hoja kwenye Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. |
Baadhi ya Wabunge wakifuatilia kwa hoja zilizokuwa zikichangiwa na wabunge mbalimbali. |
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro akifafanua jambo wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya wizara hiyo. Aliyekaa ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi na nyuma kabisa ni sehemu ya baadhi ya menejimenti ya Wizara hiyo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro (Mb.) akipongezwa na Mhe. Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya Mjini. |
Thursday, May 30, 2019
Wizara ya Mambo ya Nje yawasilisha Bajeti Bungeni
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi akiwasilisha Bungeni Bajeti ya Wizara yake May 30, 2019 |
Sehemu nyingine ya Wabunge wakiendelea kusoma baadhi ya Machapisho ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Faraji Mnyepe akipongezwa na Mwakilishi wa Ubalozi wa China hapa Nchini Bw Lin Liang. May 30, 2019.
|
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi akiwa pamoja na baadhi ya wazazi na watoto walioshinda katika mashindano ya uandishi wa insha kwa nchi za Afrika ya Mashariki,watatu kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Faraji Mnyepe,May 30, 2019 |
Wednesday, May 29, 2019
Tanzania na Namibia kushirikiana katika maswala mbalimbali ya kuleta maendeleo
Subscribe to:
Posts (Atom)