Monday, January 16, 2017

Naibu Waziri asaini kitabu cha maombolezo

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akisaini kitabu cha maombolezo kwenye makazi ya Balozi wa Msumbiji nchini Mhe. Monica Patricio yaliyopo Jijini Dar es Salaam kufutia kifo cha mtoto wa Balozi huyo. 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.