Monday, January 30, 2017

Balozi wa Indonesia nchini Tanzania aagwa baada ya kumaliza muda wake

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiani wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt.Susan Kolimba, Balozi wa Indonesia Nchini Tanzania Mhe. Zakaria Anshar (kushoto) na Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Ramadhani Mwinyi wakijadili jambo kwenye hafla fupi ya kumuaga Balozi wa Indonesia aliyemaliza muda wake wa kuhudumu nchini

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia Bibi Justa Nyange (kulia) akifuatilia jambo kwenye hafla hiyo, kushoto ni Mke Balozi wa Indonesia Mhe. Anshar aliyemaliza muda wake wa kuhudumu nchini 
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Mindi Kasiga akifurahia jambo wakati wa hafla hiyo, Kulia na Afisa kutoka Ubalozi wa Indonesia Bw. Nanang Eko K.P.P.

Naibu Waziri Mhe. Dkt. Susan Kolimba akimkabidhi picha ya baadhi vivutio vya kitalii vilivyopo nchini kwa Balozi wa Indonesia Mhe.Anshar na mke wake wakati hafla fupi ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kuhudumu nchini


Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.