Tuesday, January 24, 2017

Rais Erdogan aondoka nchini baada kumaliza ziara yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akimsindikiza Rais wa Jumhuri ya Uturuki Mhe. Recep Tyyip Erdogan wakati akielekea kupanda ndege, kuondoka nchini mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku mbili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga na Rais wa Uturuki Mhe. Recep Tyyip Erdogan wakipena mikono wakati wa hafla fupi ya kumuaga Rais huyo iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam

Rais Mhe. Erdogan na Mke wake wakipungia mikono wananchi waliojitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akiwa na Waziri Mhe. Augustine Mahiga wakati wa kumuaga Rais Erdoga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.