Friday, January 20, 2017

Mhe. Rais Magufuli awaapisha mabalozi sita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimwapisha Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazili, Ikulu jijini Dar esa salaam leo January 20, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha Dkt. James Msekela kuwa Balozi wa Tanzania Geneva - Umoja wa Mataifa, Ikulu jijini Dar esa salaam leo January 20, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha Mhe. Mbelwa Kairuki kuwa Balozi wa Tanzania nchini China, Ikulu jijini Dar esa salaam leo January 20, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha Mhe. George Madafa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Ikulu jijini Dar esa salaam leo January 20, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha Profesa Elizaberth Kiondo kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Ikulu jijini Dar esa salaam leo January 20, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha Bi. Fatma Rajab kuwa Balozi wa Tanzania nchini Qatar, Ikulu jijini Dar esa salaam leo January 20, 2017.
Sehemu ya Viongozi waliohudhuria hafla hiyo, ikulu jijini Dar es Salaam
Waheshimiwa Mabalozi wakila Kiapo cha maadili Mbele ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Hassani Suluhu, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angella Jasmine Kairuki pamoja na viongozi mbalimbali walihudhuria hafla hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (wa tano kutoka Kushoto), Makamu wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Hassani Suluhu (wa nne kutoka kushoto), Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt. Augustine Mahiga (wa tano kutoka kulia) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Aziz P. Mlima (wanne kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wateule mara baada ya kuapishwa, Ikulu jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.