Friday, January 6, 2017

Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Syria nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga(Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Syria nchini Tanzania Mhe. Abdulmonem Annan (kushoto) mwenye makazi yake nchini Kenya. Katika mazungumzo yao yaliyojikita katika kuboresha mahusiano kati ya Tanzania na Syria ambayo ni ya muda mrefu  pamoja na  Balozi Annan kutumia fursa hiyo kujitambulisha rasmi kwa Waziri Mahiga. 
Sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia mazungumzo hayo. 
Balozi Annan akimweleza jambo Mhe. Mahiga wakati wa mazungumzo hayo.
Mazungumzo yakiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.