Thursday, February 2, 2017

Watumishi wapewa semina ya maandalizi ya kuhamia Makao Makuu ya Serikali Dodoma

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara Bi. Mindi Kasiga akifungua warsha ya kuwaandaa watumishi wa Wizara kuhamia Makao Makuu ya Serikali Dodoma hivi karibuni.

Mkurugenzi wa  Utawala na Usimamizi Rasmilimali watu Bw.Nigel Msangi akizungumza na watumishi (hawapo pichani) katika warsha hiyo.

Mwezeshaji wa warsha hiyo Bibi.Margaret Mussai kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto akizungumza na watumishi 

Afisa Ustawi wa Jamii Mwandamizi, Bw. Darius Damas Kalijongo kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto akitoa mada katika warsha hiyo

Mtumishi akichangia jambo wakati wa warsha

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.