Wednesday, February 15, 2017

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo wa Korea


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi, Dkt. Aziz P. Mlima akizungumza na Mhe. Jong-moon. Katika mazungumzo yao waliongelea kuhusiana na ushirikiano wa kidiplomasia, sekta ya elimu katika ufadhili wa masomo ya muda mrefu na muda mfupi pamoja na sekta nyingine za maendeleo katika kuinua uchumi wa mataifa hayo mawili.

Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia mazungumzo.

Mazungumzo yakiendelea.

Picha ya pamoja.

Picha ya pamoja ujumbe wa Serikali ya Tanzania na Korea.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.