Tuesday, February 7, 2017

Waziri Mahiga apokea nakala za hati za utambulisho wa Balozi Mteule wa Burundi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akipokea nakala ya hati za utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Burundi Mhe. Gervais Abayeho




 Dkt. Mahiga akizungumza na Balozi Mhe. Abayeho mara baada ya kumaliza kupokea nakala za utambulisho.
Balozi mteule Mhe. Abayeho naye akielezea jambo kwa Dkt. Mahiga
Mazungumzo yakiendelea
Waziri Mahiga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mteule kutoka Burundi Mhe. Abayeho (wa pili kutoka kushoto), Mkurugenzi Mkuu Idara ya Itifaki Balozi Grace Martine (Wa pili kutoka kulia) Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Bwa. Suleiman Salehe (wa kwanza kushoto) na Afisa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bwa. Eric Ngilangwa

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.