Friday, February 3, 2017

Waziri Mahiga afanya mazungumzo na Balozi wa Kuwait nchini Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi wa  Kuwait nchini Mhe.Jasem Ibrahim Al Najem walipokutana kwa mazungumzo Wizarani Jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalijikita katika kujadili namna ya kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo nchini itakayo fadhiliwa na serikali ya Kuwait ikiwemo uchimbaji visima vya maji, miradi ya kuendeleza elimu na kuboresha sekta ya afya.

Waziri Mhe. Mahiga akimsikiliza Balozi wa Kuwait nchini Mhe.Najem

Waziri Mahiga na Balozi wa Kuwait nchini wakifurahia jambo

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.