Thursday, February 2, 2017

Naibu katibu Mkuu akutana na ujumbe kutoka Sweden


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Naje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Mwinyi akisalimiana na mmoja wa wajumbe kutoka Sweden walipokutana kwa mazungumzo Wizarani Jijini Dar es Salaam. Mazungumzo yao yalijikita katika kuendeleza ushirikiano wa Kiplomasia, shughuli za Kijamii na Kiuchumi baina ya nchi hizi mbili

Naibu Katibu Mkuu Balozi Ramadhan Mwinyi akizungumza alipokutana na ujumbe kutoka Sweden, Kushoto ni Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mhe. Katarina Rangnitt
Mazungumzo yakiendelea

Mkurugenzi Mkuu wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka Sweden Bw.Johannes Oljelund akizungumza alipokutana na Naibu Katibu Mkuu, Wa tatu kushoto Mkurugenzi Mkuu wa Biashara Bi.Karin Olofsdotter

Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika Balozi Joseph Sokoine (wapili kulia) akifuatilia mazungumzo, Wa kwanza kulia ni Afisa kutoka Wizarani Bi. Tunsume Mwangolombe

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.