Wednesday, February 8, 2017

Rais Magufuli apokea Hati za Utambulisho kutoka Mabalozi wa Burundi, Iran,Cuba, Zambia, Morocco na Saudi Arabia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Burundi Mhe.Gervais Abayeho Ikulu Jijini Dar es Salaam


Rais Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Burundi nchini Tanzania Mhe. Gervais Abayeho. Wapili kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Mahiga na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt. Aziz P. Mlima (wakwanza kulia) wakifuatilia mazungumzo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang Ikulu Jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mhe. Mousa Farhang mara baada ya kuwasilisha hati za utambulisho

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Aziz Mlima akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mhe. Mousa Farhang

Picha ya pamoja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Cuba nchini Tanzania Mhe. Lucas Domingo Harnandez Polledo Ikulu Jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Cuba nchini Tanzania Mhe. Lucas Domingo Harnandez Polledo  mara baada ya kuwasilisha Uati za Utambulisho

Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika Balozi Joseph Sokoine akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Cuba nchini Mhe. Lucas Domingo Harnandez Polledo mara baada ya kuwasilisha Uati za Utambulisho

Picha ya pamoja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Zambia nchini Tanzania Mhe. Benson Keith Chali Ikulu Jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Mindi Kisiga akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Zambia nchini Tanzania Mhe. Chali mara baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho

Picha ya pamoja

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa Hati za Utambulisho na  Balozi wa Ufalme wa Morocco nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane Ikulu Jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Mindi Kisiga akisalimiana na Balozi Ufalme wa Morocco Mhe. Benryane  mara baada ya kukabidhi Hati za Utambulisho

Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika Mazungumzo na Balozi wa Ufalme wa Morocco nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane mara baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho
Balozi wa Ufalme wa Saudi Arabia Mhe. Mohamed Ben Mansour Al Malek (katika) mwenye makazi yake Jijini Dar es Salaam akiwa amesimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Itifaki Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Grace Martin

Balozi wa Ufalme wa Saudi Arabia Mhe. Al Malek akisaini kitabu cha wageni Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufalme wa Saudi Arabia Mhe. Mohamed Ben Monsour Al Malek Ikulu Jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi wa Ufalme wa Saud Arabia Mhe. Al Malek mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Aziz Mlima akisalimiana na Balozi wa Ufalme wa Saud Arabia Mhe. Al Malek mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho

Picha ya pamoja

Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Ufalme wa Saudi Arabia nchini  Mhe. Al Malek mara baada ya kuwasilisha hati za utambulisho Ikuli Jijini Dar es Salaam


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.