Wednesday, February 22, 2017

Waziri Mahiga akutana na Mkurugenzi wa UNDP nchini


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bi. Hawa Dabo alipomtembelea leo katika Ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Waziri Mahiga akiendela na mazungumzo na Bi. Gabo huku Bi. Ngusekela Nyerere (kulia), Afisa Mambo ya Nje akinukuu.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.