Thursday, February 23, 2017

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Mjumbe Maalum wa Mto Nile kutoka Ujerumani


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Susan Kolimba akiwa kwenye mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Mto Nile kutoka Ujerumani. Balozi Rolf Welberts (kushoto). Katika mazungumzo yao Balozi Welbert alimwelezea Dkt. Kolimba dhumuni la kuhakikisha Maji ya Mto Nile yanatumiwa  kwa amani na nchi zote zinazopitiwa na mto huo.Mkutano huo umefanyika Wizarani Jijini Dar es Salaam.











Sehemu ya Maafisa Mambo ya Nje wakifuatilia mazungumzo kati ya Dkt. Kolimba na Balozi Welbert
Mazungumzo yakiendelea
Naibu Waziri, Dkt. Susan Kolimba akiagana na Balozi Welbert mara baada ya kumaliza mazungumzo naye.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.