Friday, February 17, 2017

Balozi wa Tanzania nchini Brazil awasili rasmi Ubalozini


Balozi wa Tanzania nchini Brazil, Mhe. Emmanuel Nchimbi akianza rasmi majukumu yake ya ofisini kwenye wadhifa wa Balozi mara baada ya kuwasili rasmi kwenye Ofisi za Ubalozi wa Tanzania zilizopo kwenye makao makuu nchini humo, mjini Brasilia.

Balozi Nchimbi akiwa kwenye picha ya pamoja na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Brazil mara baada ya kumpokea na kumkaribisha rasmi kituoni hapo.


Balozi Nchimbi (kushoto) akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Mambo ya Nje ya Brazil mara baada ya kuwasili Wizarani hapo kwa utambulisho.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.