Friday, February 10, 2017

Katibu Mkuu akutana na Kansela wa Ubalozi wa Afrika ya Kusini nchini Tanzania


Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Aziz P. Mlima akisalimiana Kansela wa Ubalozi wa Afrika ya Kusini nchini Tanzania, Bw. Frans Van Aardit walipokutana kwa mazungumzo Wizarani Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo hayo Kansela wa Ubalozi wa Afrika ya Kusini amekabidhi msaada wa kiasi cha Randi milioni 10 (Fedha ya Afrika ya Kusini), sawa na Dola za Kimarekani laki 7 ikiwa ni mchango wa Serikali ya Afrika ya Kusini kwa wahanga wa tetemeko la Ardhi wa Mkoa wa Kagera lililotokea Septemba 2016.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.