Monday, February 13, 2017

Waziri akutana na Msajili wa MICT

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Msajili wa  Mfumo wa Kimataifa wa kumalizia mashauri yaliyosalia ya iliyokuwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda (MICT), Dkt. Olufemi Elias alipomtembelea katika Ofisi za Wizara jijini Dar es Saalam tarehe 13 February, 2017.
Maafisa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia mazungumzo. Kutoka kushoto ni Bw. John Pangipita pamoja na Bi.Gwantwa Mwaisaka.
Sehemu ya Maafisa waliofuatana na Msajili wakifuatilia mazungumzo. Kutoka kulia ni  Bw. Samuel Akorimo, Bw. Ousman Njikan na Bi. Tully Mwaipopo 
Mazungumzo yakiendelea


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.